Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,737
- 10,817
Kusema ukweli mh.wetu safari zimezidi mno hadi inakera.
Nafikiri tupate Rais Mzee mwenye busara ambaye si mtokaji kihivyo.
Mh.Mwai Kibaki wa Kenya alitoka mara chache sana,lakini aliweza kukuza uchumi wa Kenya.
Tanzania ya sasa haihitaji kutoka kwa kwa Rais, bali anayeweza kucheza na resources zilizopo na kuzimanipulate ziweze kuwaletea Watanzania tija.2015 tusifanye makosa
Nafikiri tupate Rais Mzee mwenye busara ambaye si mtokaji kihivyo.
Mh.Mwai Kibaki wa Kenya alitoka mara chache sana,lakini aliweza kukuza uchumi wa Kenya.
Tanzania ya sasa haihitaji kutoka kwa kwa Rais, bali anayeweza kucheza na resources zilizopo na kuzimanipulate ziweze kuwaletea Watanzania tija.2015 tusifanye makosa