John porter
Member
- Jul 8, 2013
- 65
- 28
Niliwahi kumwambia mwandishi mmoja wa Dar kuwa,africa ina laana,akakataa,udhaifu wa kikwete kushindwa kuongoza nchi ni moja ya sababu za laana ya africa kutimia,nchi gani ktk africa ambayo ina uchumi mzuri angalau tu kuifananisha na spain? au Turkey? africa yenye raslimali nyingi kuliko mabara yote duniani ndo pia maskini kuliko bara lolote duniani,hapo ukitafakari unaona nini? kwa nini nchi kama Finland isiyo na raslimali yoyote isaidie mataifa kibao africa? Zamani nikiwa na miaka 18 hadi 22,nilikuwa na ndoto za kuishi ulaya au marekani,leo hii ktk umri wa miaka 30,sitamani kwenda popote,moyo wa uzalendo umenikaa,ni nani atasimama kunipinga kuwa africa haina laana? kwa nini mataifa 54 yote ya africa yawe choka mbaya? south africa ilikuwa nzuri kiuchumi wakati wa utawala wa makaburu,leo hii choka mbaya,black skin,black brain,black future,MUNGU TUSAMEHE DHAMBI YOYOTE MBAYA TULIYOKUTENDA SISI WAAFRIKA.Central africa,mali,Rwanda,congo,Angola,misri,Libya,Liberia,Sierra Leone,sudan,are these blessed? Let me know.
Mheshimiwa Truth Guy, una ushahidi gani zaidi ya huo uliouandika hapo kuwa waafrika wana laana? Wa kwanza mie najitoa kwenye hiyo laana kama laana unayo mwenyewe tukirejea miaka mingi nyuma mkoloni wakati alipotutawala alihakikisha kutuwekea imani ya kuwa sisi ni mkia tu kwao na ndyo akili hiyo uliyonayo wewe na viongozi wako ndyo mataifa mengi ya afrika tupo hapa wanaamini bila kusaidiwa na mzungu hakuna maendeleo na yeye mzungu huku akiwa anatung'ong'a anatupa milion 100 kisha anachukua billion 100 mfano.
Hivyo mheshimiwa hiyo "colonial mentality" ondoa kabisa usijidharau kabisa haya mazungu yana tuchezea michezo michafu tukipata serikali isiyo sujudia watu wa magharibi utafurahi ndugu yangu
Angalia kwa bwana Gaddafi kwani wale ni weusi? Hapo utakuwa unapata picha kidogo kwa kile nnacho amini kabla ya ukoloni wazungu waliendelea sana kuliko sisi kutokana na mazingira yao na sisi tulikuwa na maendeleo kidogo kutokana na mazingira tuishiyo.. Angalia kama ugunduzi wa kalenda ulianzia wapi? Na vingine vingi ambavyo mimi sivijui inawezekana hata wewe huvijui na vimefichwa na kuonekana wamevigundua wao. Hivyo tusipotoshane hapa eti waafrika tuna laana.