Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

labda uwe mvivu wa kufikiri ndipo uungane
na waingereza ambao ktk siku za karibuni tumekataa maombi yao mengi kwani walitaka kumbuluza jk

Kweli wewe ni mama porojo! yaani hata ukichanganya zako kidogo na za mbayuwayu bado huoni? huelewi? Wamburuze JK kwenye nini hasa? Aliwakatalia madai yao yapi hasa? una habari ktk wafadhili na investor wakubwa TZ ni UK? Huoni aibu kwa viongozi wako wezi na wasanii wanaolipeleka taifa gizani? Huoni aibu kutetea ujinga wakati Tz tuna raslimali za kutosha kutoomba msaada kwa mtu yeyote? Huoni aibu Wa-Tz wenzako wanalala na njaa kutokana na sera na siasa chafu zisizojali wananchi wake? huoni aibu wewe mama? Eti aliwakatalia ushoga...!? ushoga umekithiri TZ na hata viongozi wa juu wana-practice ushoga leo iwe ajabu kwa shoga Mwingereza? Unajua ni madiplomats wangapi wanajihusisha na ushoga nchini? mbona mmekuwa mavuvuzela wa siasa za Membe na kujitafutia umaarufu? Kwa akili yako mtu ataingia nchi ya watu na ajitangaze hadharani kuwa yeye ni shoga au ana practice ushoga?

Turudu kwenye hoja....Rais wetu anatia aibu kwa safari zake nyingi za nje takriban 322! Unajua gharama ya safari hizo? Mimi binafsi naona aibu sana kwa yanayoendelea Tz!
 
419927_362350720461662_100000602115016_1375892_566773715_n.jpg
 
Duh kiila kitu jamaa wamechana.. Shame up on him and us all.
 
Walituambia tuwe mashoga mijitu ikaja juu, lakini leo wanatuandika vibaya mijitu inaunga mkono....tena kwa sababu wameongea wazungu ndiyo kabisa!!!! threads hidi zinakuwa na mashiko watu hamkumbuki baba zenu na vizazi vyenu vilivyotafuna na kuua viwanda vyetu na mashirika ya umma harafu leo mnamlauki JK?

ama kweli Rais kikwete anadharauliwa...yamefikia haya?
 
kikwete hana tofauti ni mti wa ashok(mu-ashok)...ule mti haufai kwa kuni....haufai kujengea....haufai kwa kivuli...haufi kuwa mkongojo wa mzee...haufai kupasua mbao....zaidi sana ule mti huwa ni pango na makazi ya nyoka wale wa kijani....

kikwete is a captive of his own identity...livingi in prison of his own creation.....

the Nation has a president who cannot think beyond the next meal......yupo yupo tu..

Imetosha basi,punguza jazba
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu. No more respect to tanzania and tanzanians, and this is bse of our senior leaders actions.
It is NOT because of our senior LEADERS but because of WE TANZANIANS. Hapo ndipo tunapokosea, ni tatizo letu sisi coz ndo wenye shida....kwani hao leaders wao wanashida?????
 
wenje bana, teh teh teh! anapiga za uso tu, dah!
Kanifurahisha zaidi aliposema watuhumiwa wa ufisadi ndio wenyeviti wa baadhi ya kamati nyeti za kudumu za Bunge. Wametimka serikali kwa aibu wamepokelewa Bungeni kwa vyeo vizito tu kama mashujaa vile.
 
Wanachosema wazungu ni sawa kabisa.

Misaada tunapewa wakati nchi ni tajiri kwa kila kitu bado JK anabeba bakuli la Matonya anaanza kupita kila mahali saidia baba. Lazima udharaulike kuliko lile dekio la toilet.

Lile suala la kukubali ushoga ili upewe msaada ni moja ya sababu za kuchokwa na hao wazungu. Walikuwa wanajua atakataa ila kwao wazungu ilikuwa ni njia mojawapo ya kumkimbiza, wamemchoka na bakuli lake la matonya kila kukicha wakati huku Rais, mawaziri, wabunge, wakurugenzi, wawekezaji, kila mtu anaiba/kwepa kodi wakati nchi ni tajiri rasilimali za kutosha.
 
Wanachosema wazungu ni sawa kabisa.

Misaada tunapewa wakati nchi ni tajiri kwa kila kitu bado JK anabeba bakuli la Matonya anaanza kupita kila mahali saidia baba. Lazima udharaulike kuliko lile dekio la toilet.

Lile suala la kukubali ushoga ili upewe msaada ni moja ya sababu za kuchokwa na hao wazungu. Walikuwa wanajua atakataa ila kwao wazungu ilikuwa ni njia mojawapo ya kumkimbiza, wamemchoka na bakuli lake la matonya kila kukicha wakati huku Rais, mawaziri, wabunge, wakurugenzi, wawekezaji, kila mtu anaiba/kwepa kodi wakati nchi ni tajiri rasilimali za kutosha.

mkuu hata mm nimemsikia mh. Wenje daah huwa namkubali jamaa
 
Sijamwelewa Membe, hapa kosa la JF ni kumshtua na kuwafahamisha watanzania kuwa rais wetu anachafuliwa kwenye tovuti ya Guardian?
 
Sijamwelewa Membe, hapa kosa la JF ni kumshtua na kuwafahamisha watanzania kuwa rais wetu anachafuliwa kwenye tovuti ya Guardian?

Kuna uzi nilichangia kuwa serikali yetu iwe ya kwanza kuichangia JF maana inaiba sana nondo zilizowekwa huku na wadau. Huwezi kumaliza siku ukiangalia bunge bila kuisikia mada iliyoibwa JF.

Kwa hili kilichomuuma membe ni JF kuleta yale maoni tu badala ya kuweka mjadala mzima ulioanzishwa na the guardian na kuwa JK alifanya kazi nzuri huko Davos.

Ila duh JF inaendesha nchi yetu siku hizi.
 
Bitabo,

Nilichotarajia Membe kufanya ni ku-acknowledge JF kuwa chanzo cha yeye kufahamu kuwa jamaa wanatutendea visivyo sawa na hivyo nilitarajia atufahamishe wamechukua hatua gani kuongea na Guardian juu ya comments hizi.

Yani anadai kuwa uki-search maneno haya yanatokea JF na si Guardian? I see, the man isn't serious!

CHECK this LINK - Davos 2012: Day two, as it happened | Business | guardian.co.uk
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: SMU
Kuna uzi nilichangia kuwa serikali yetu iwe ya kwanza kuichangia JF maana inaiba sana nondo zilizowekwa huku na wadau. Huwezi kumaliza siku ukiangalia bunge bila kuisikia mada iliyoibwa JF.

Kwa hili kilichomuuma membe ni JF kuleta yale maoni tu badala ya kuweka mjadala mzima ulioanzishwa na the guardian na kuwa JK alifanya kazi nzuri huko Davos.

Ila duh JF inaendesha nchi yetu siku hizi.

Ikulu inatumia email ya yahoo, unategemea nini?
 
Mna kila sababu kubadilisha utawala 2015. Hii inamaanisha katika tenga la samak, asilimia 99 wameoza kwahiyo huwez kusema utawatupa samak waliooza peke yao, coz hata hao asilimia 1 watakuwa na harufu tu hutaweza kuwala. Mwagen tenga hil la kijan, chukuen tenga jingine lolote 2015. NAdhan hapo mambo ya kuteteana kichama na kuogopana kifisad tutayamaliza, na tutarudisha heshima yetu TZ. J.k na wabunge wake, wapo hoi na hawatafanya jipya kwa sasa, ni bas tu katiba hairuhusu,Ingeruhusu tungemng'oa JK now.
 
Back
Top Bottom