Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

WAZUNGU WASEMAVYO JUU YA KIKWETE/
VIONGOZI WA TANZANIA
Ni baadhi tu ya maoni katika habari
iliyochapishwa kwenye gazeti la The Guardian,
la Uingereza, yenye kichwa cha habari, "Davos
2012: All the developments from day two of the
summit".
RichardBrunwick
26 January 2012 2:33PM
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic
African leaders of our times. He is a peacetime
leader for a country known to be one of the
richest in the world in terms of natural
resources, yet he leades the world with
begging. Foreign companies have known
Tanzania to be a free land in which you can go
in and take all you can without being asked a
question. I really don't get the mind set of its
leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a
Muzungu worshiper. Having worked with the
UNDP in that country for 8 years, I realized
how inneficient and corrupt the country's
leadership is. His ministers that requested
bribes from BAE have never been tried despite
the damning evidence against them. British
TAX payers must stop funding this man's
corruptin and foreign trips. His human rights
record is horrible. Mr. Kikwete had no
business of going to Davos to ask for foreign
aid. Already his country is the world third
leading foreign Aid dependant nation. He
should be embarassed to say to the world that
people are poor. His people living "hand to
mouth " is his own is own ignorance and
stupidity.That is hiw own problem, Brits are
having their own problems he must realize
that. We cant bankroll his foreign trips. He
should make good use of his country's wealth.
Instead of letting his corrupt officials and
foreigners loot his country, he needs to think
before letting himself be a global loughing
stock. I read in one of the regional (kenyan)
publication the mockery nature related to his
frequent foreign trips. Palestinian, Haiti,
Lebanon, Somalia and even Rwanda economies
are more robust that of Tanzania. We must
question the nations that welcomes this
"Joker's" request for AID. He needs to be on a
"no-fly" list so he can be serious. Hopefully the
billionaires questions what he has done with
the Money he has received for decades. The
Arab spring should turn into the African
summer and get rid of the Kikwete likes(Latest
US news, world news, sport and comment from
the Guardian | guardiannews.com | The
Guardian discussion/comment-permalink/
14344505)
LindaCroucher
26 January 2012 3:50PM
Response to RichardBrunwick, 26 January
2012 2:33PM
This man did not deserve to be a head of state.
He has no credibility. How can a head of state
be bribed suits? We must write Downing Street
and our parliament, and let them know that
Aid to some of these african countries ought to
STOP. nyerere the founding president of
tanzania was a visionary even though his
socialist policies failed, but he was a nationalist
and a true patriot.Kenya, Rwanda, Ghana have
seen far and are on the roll to economic
dependence. Kikwete, and his chrony of rulling
elites getting richer and richer. These people
have no electricity yet the country has so many
dams and rivers. There should be a policy to
bar all corrupt leaders and their children from
stepping into the EU.I dont blame Kikwete, i
blame Tanzaians for letting this happen. They
should be 100% responsible for their poverty
and suffering. We just dont need them to come
for Aid. We have many Brits out of work, and
that money should pay for their Unemployment
Benefit(Latest US news, world news, sport and
comment from the Guardian |
guardiannews.com | The Guardian discussion/
comment-permalink/ 14346120)
LindaCroucher
26 January 2012 4:01PM
African problem is more than foreign aid. They
are not ready for economic transformation. In
Tanznaia today, they have started the
leadership inheritance in which the old guards
passess on the torch to their children. we
should not expect anything serious from
African nations. If it means our money, lets cut
it off. We have so many social problems to deal
with people's own created miserybecause they
will never have free elections without someone
stffing ballot boxes and ready to let the whole
country in flames as long as they remain in
power and their children in top american and
british schools(Latest US news, world news,
sport and comment from the Guardian |
guardiannews.com | The Guardian discussion/
comment-permalink/ 14346365)
Ukitaka kujibu maoni hayo na/au kusoma
mengine, bofya hapa ufuate ukurasa husika
katika The Guardian
 
kwani unategema wazungu waisifie nchi yako?
nipo huku miaka mingi kiasi hata chuoni wanafunzi wanatuuliza kama tuna barabara za lami na kama tuna nyumba za tofali
washazoea kuona habari za majanga afrika kama vita njaa na magonjwa
hawajawahi kuona picha za jiji letu na makazi yetu wala barabara zetu..

hata waandishi wenyewe wa Tanzania wanaoripotia vituo vya nje kama BBC hupiga picha zao mazingira mabovu kama kariakoo na uswazi,,kama wakumbuka Obama alivokuja uliona news walizoripoti BBC na eneo walilopiga picha?
hadi leo wapo wazungu wanaamini tunaishi katika miti,,na tunawajibu ndio tunaishi kwenye miti,,baba na mama kila mtu ana mti wake,wanashuka tu wakitaka kuzaa,,tunawajibu pia hata mabalozi wao wanaishi kwenye miti pia wanapokuja afrika....
kwa wenye akili hugoogle wenyewe......
Lingine maamuzi ya viongozi wetu ni ya kuchekesha pia wanawachia wazungu migodi,madini,kila kitu wachukue kwa kodi kidogo sana kwa kuhongowa suti na fedha kiasi wanazowekewa banks za nje...
sasa kwanini wasitudharau????? Kama wanakubali kuwauza wananchi wao kwa kuhongwa na kutubakiza maskini watakupenda kwa lipi???? ukiona wanakuja afrika wanakuja kuchuma hakuna cha bure kwa Mzungu
 
Hawa ndiyo wale wazungu wapumbavu.

Huyu alifanya kazi UNDP lakini anaonekana uelewa wake mambo ya development ni mmbovu. Ana tone ya wale wanaomchukia Kikwete na tz within this region na internationally.

Wapaswa kupuuzwa.
 
Hata mim nazisubiri kwa hamu hizo siku 14 duuuu 😀🙁🙁😀🙁😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Palestina, Haiti, Somalia have more robust economies than that of Tanzania? Are we that F....d up?!!
 
kwani unategema wazungu waisifie nchi yako?
nipo huku miaka mingi kiasi hata chuoni wanafunzi wanatuuliza kama tuna barabara za lami na kama tuna nyumba za tofali
washazoea kuona habari za majanga afrika kama vita njaa na magonjwa
hawajawahi kuona picha za jiji letu na makazi yetu wala barabara zetu..

hata waandishi wenyewe wa Tanzania wanaoripotia vituo vya nje kama BBC hupiga picha zao mazingira mabovu kama kariakoo na uswazi,,kama wakumbuka Obama alivokuja uliona news walizoripoti BBC na eneo walilopiga picha?
hadi leo wapo wazungu wanaamini tunaishi katika miti,,na tunawajibu ndio tunaishi kwenye miti,,baba na mama kila mtu ana mti wake,wanashuka tu wakitaka kuzaa,,tunawajibu pia hata mabalozi wao wanaishi kwenye miti pia wanapokuja afrika....
kwa wenye akili hugoogle wenyewe......
Lingine maamuzi ya viongozi wetu ni ya kuchekesha pia wanawachia wazungu migodi,madini,kila kitu wachukue kwa kodi kidogo sana kwa kuhongowa suti na fedha kiasi wanazowekewa banks za nje...
sasa kwanini wasitudharau????? Kama wanakubali kuwauza wananchi wao kwa kuhongwa na kutubakiza maskini watakupenda kwa lipi???? ukiona wanakuja afrika wanakuja kuchuma hakuna cha bure kwa Mzungu




Mkuu siyo wazungu tu, kuna mwanafunzi wa kichina tena wa chuo kikuu aliniuliza Waafrica tunawezaje kuishi na wanyama wakali kama simba mahali pamoja na hawatujeruhi/hawatuli?

Yaani media za kimagharibi zinatuchafua sana kwakweli japokuwa ni kweli sisi ni masikini wa kujitakia.
 
Mkuu siyo wazungu tu, kuna mwanafunzi wa kichina tena wa chuo kikuu aliniuliza Waafrica tunawezaje kuishi na wanyama wakali kama simba mahali pamoja na hawatujeruhi/hawatuli?

Yaani media za kimagharibi zinatuchafua sana kwakweli japokuwa ni kweli sisi ni masikini wa kujitakia.

Pamoja na mtazamo wa wazungu kwa waafrika kuwa hivyo, ukweli ni kwamba watanzania hatukupaswa kuishi kwa namna tunavyoishi, kwani tunamito hatuna umeme, Rushwa imeshamili watu wachache wananufaika na hii nchi huo ni ukweli na utabaki hivyo.Watanzania tujitambue na kukataa utawala huu ambao hauwezi kufanya maamuzi mazito kwa wale ambao wanatuibia rasilimali zetu.
 
WAZUNGU WASEMAVYO JUU YA KIKWETE/
VIONGOZI WA TANZANIA
Ni baadhi tu ya maoni katika habari
iliyochapishwa kwenye gazeti la The Guardian,
la Uingereza, yenye kichwa cha habari, "Davos
2012: All the developments from day two of the
summit".
RichardBrunwick
26 January 2012 2:33PM
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic
African leaders of our times. He is a peacetime
leader for a country known to be one of the
richest in the world in terms of natural
resources, yet he leades the world with
begging. Foreign companies have known
Tanzania to be a free land in which you can go
in and take all you can without being asked a
question. I really don't get the mind set of its
leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a
Muzungu worshiper. Having worked with the
UNDP in that country for 8 years, I realized
how inneficient and corrupt the country's
leadership is. His ministers that requested
bribes from BAE have never been tried despite
the damning evidence against them. British
TAX payers must stop funding this man's
corruptin and foreign trips. His human rights
record is horrible. Mr. Kikwete had no
business of going to Davos to ask for foreign
aid. Already his country is the world third
leading foreign Aid dependant nation. He
should be embarassed to say to the world that
people are poor. His people living "hand to
mouth " is his own is own ignorance and
stupidity.That is hiw own problem, Brits are
having their own problems he must realize
that. We cant bankroll his foreign trips. He
should make good use of his country's wealth.
Instead of letting his corrupt officials and
foreigners loot his country, he needs to think
before letting himself be a global loughing
stock. I read in one of the regional (kenyan)
publication the mockery nature related to his
frequent foreign trips. Palestinian, Haiti,
Lebanon, Somalia and even Rwanda economies
are more robust that of Tanzania. We must
question the nations that welcomes this
"Joker's" request for AID. He needs to be on a
"no-fly" list so he can be serious. Hopefully the
billionaires questions what he has done with
the Money he has received for decades. The
Arab spring should turn into the African
summer and get rid of the Kikwete likes(Latest
US news, world news, sport and comment from
the Guardian | guardiannews.com | The
Guardian discussion/comment-permalink/
14344505)
LindaCroucher
26 January 2012 3:50PM
Response to RichardBrunwick, 26 January
2012 2:33PM
This man did not deserve to be a head of state.
He has no credibility. How can a head of state
be bribed suits? We must write Downing Street
and our parliament, and let them know that
Aid to some of these african countries ought to
STOP. nyerere the founding president of
tanzania was a visionary even though his
socialist policies failed, but he was a nationalist
and a true patriot.Kenya, Rwanda, Ghana have
seen far and are on the roll to economic
dependence. Kikwete, and his chrony of rulling
elites getting richer and richer. These people
have no electricity yet the country has so many
dams and rivers. There should be a policy to
bar all corrupt leaders and their children from
stepping into the EU.I dont blame Kikwete, i
blame Tanzaians for letting this happen. They
should be 100% responsible for their poverty
and suffering. We just dont need them to come
for Aid. We have many Brits out of work, and
that money should pay for their Unemployment
Benefit(Latest US news, world news, sport and
comment from the Guardian |
guardiannews.com | The Guardian discussion/
comment-permalink/ 14346120)
LindaCroucher
26 January 2012 4:01PM
African problem is more than foreign aid. They
are not ready for economic transformation. In
Tanznaia today, they have started the
leadership inheritance in which the old guards
passess on the torch to their children. we
should not expect anything serious from
African nations. If it means our money, lets cut
it off. We have so many social problems to deal
with people's own created miserybecause they
will never have free elections without someone
stffing ballot boxes and ready to let the whole
country in flames as long as they remain in
power and their children in top american and
british schools(Latest US news, world news,
sport and comment from the Guardian |
guardiannews.com | The Guardian discussion/
comment-permalink/ 14346365)
Ukitaka kujibu maoni hayo na/au kusoma
mengine, bofya hapa ufuate ukurasa husika
katika The Guardian

Mda mwingine tuache kutetea uozo uliopo eti kwasababu ni watanzania!! Kilichoandikwa hapo juu ni ukweli mtupu' na kama wewe unaona tunapondwa kwasababu ya uafrica wetu basi kanusha kitu kilichoandikwa kwenye hayo maandiko ambacho chakusingiziwa au chakutengenezwa!!!

Na ukasuku wakusema nchi yangu hata kwenye ukweli ndo unaopelekea viongozi kujua sisi mambumbumbu au mazuzu na ndo maana wanatawala wanavyoweza na kudiriki kutoa kauli za kejeli na dharau kwa wananchi.


Penye ukweli tuwe wakweli na penye uongo tukanushe!!

Ugum wa maisha wa watanzania kwa asilimia 90 unasababishwa na utawala mbovu.
 
Wazungu ni akina nani? Ukute JK mwenyewe ni mzungu wa kiswahili.
 
kwani unategema wazungu waisifie nchi yako?
nipo huku miaka mingi kiasi hata chuoni wanafunzi wanatuuliza kama tuna barabara za lami na kama tuna nyumba za tofali
washazoea kuona habari za majanga afrika kama vita njaa na magonjwa
hawajawahi kuona picha za jiji letu na makazi yetu wala barabara zetu..

hata waandishi wenyewe wa Tanzania wanaoripotia vituo vya nje kama BBC hupiga picha zao mazingira mabovu kama kariakoo na uswazi,,kama wakumbuka Obama alivokuja uliona news walizoripoti BBC na eneo walilopiga picha?
hadi leo wapo wazungu wanaamini tunaishi katika miti,,na tunawajibu ndio tunaishi kwenye miti,,baba na mama kila mtu ana mti wake,wanashuka tu wakitaka kuzaa,,tunawajibu pia hata mabalozi wao wanaishi kwenye miti pia wanapokuja afrika....
kwa wenye akili hugoogle wenyewe......
Lingine maamuzi ya viongozi wetu ni ya kuchekesha pia wanawachia wazungu migodi,madini,kila kitu wachukue kwa kodi kidogo sana kwa kuhongowa suti na fedha kiasi wanazowekewa banks za nje...
sasa kwanini wasitudharau????? Kama wanakubali kuwauza wananchi wao kwa kuhongwa na kutubakiza maskini watakupenda kwa lipi???? ukiona wanakuja afrika wanakuja kuchuma hakuna cha bure kwa Mzungu

what did they say?
1.one of the richest country in the world in terms of resources yet leads the world in begging...FACT
2.foreign companies know this is shamba la bibi....FACT
3.his ministers requested bribe from BAE,all the evidence available for anyone yet no one was prosecuted...FACT
4.ruling elite get richer and richer coz of corruption...FACT
5.larger part of the country have has no electricity yet we have many rivers and dams...FACT
6.in tanzania today,they have started leadership inheritance.....FACT
 
Mda mwingine tuache kutetea uozo uliopo eti kwasababu ni watanzania!! Kilichoandikwa hapo juu ni ukweli mtupu' na kama wewe unaona tunapondwa kwasababu ya uafrica wetu basi kanusha kitu kilichoandikwa kwenye hayo maandiko ambacho chakusingiziwa au chakutengenezwa!!!

Na ukasuku wakusema nchi yangu hata kwenye ukweli ndo unaopelekea viongozi kujua sisi mambumbumbu au mazuzu na ndo maana wanatawala wanavyoweza na kudiriki kutoa kauli za kejeli na dharau kwa wananchi.


Penye ukweli tuwe wakweli na penye uongo tukanushe!!

Ugum wa maisha wa watanzania kwa asilimia 90 unasababishwa na utawala mbovu.
Ndugu Zyamwelele, mimi kwa kweli nimefurahia sana ulivyosema. Umeamua kuwa objective na hiyo pekee ndio itakayotuondoa hapa tulipo. Kwa ujumla nawashangaa hawa wanaosema tunasemwa vibaya. La hasha, hatujasemwa vibaya ila tumeambiwa ukweli. Tatizo ni kwamba ukweli waliosema ni madudu tunayoyafanya kwa kuwalinda viongozi waliojaa ubinafsi. Mimi nawashukuru hawa jamaa walioandika, angalau tumeoneshwa kwamba madudu yetu si siri tena. Sasa badala ya kulalamika, tuichukulie kama ni changamoto, tuanze kuwawajibisha viongozi wetu ili rasilimali za nchi ziwanufaishe wananchi kwa ujumla wao na si viongozi na familia zao pamoja na wawekezaji.
 
Mzungu ndio sababu ya matatizo tulionayo, hivyo hawezi kua mtu mwema kwetu. Bila shaka huo ni wivu tu wa jitihada zetu.

Sio kila unaeambiwa ni baba yako, basi ndie. Ilikupata uhakika kamuulize mama yako.
 
hawa ndiyo wale wazungu wapumbavu.

Huyu alifanya kazi undp lakini anaonekana uelewa wake mambo ya development ni mmbovu. Ana tone ya wale wanaomchukia kikwete na tz within this region na internationally.

Wapaswa kupuuzwa.

tru alwayz pain
 
kwani unategema wazungu waisifie nchi yako?

Hapana ila kisemwacho kipo sikitiko langu ni kuwa hao wafanyao hayo hawana staha hata kidogo? Yanini kujipendekeza kiasi hicho?

nipo huku miaka mingi kiasi hata chuoni wanafunzi wanatuuliza kama tuna barabara za lami na kama tuna nyumba za tofali
washazoea kuona habari za majanga afrika kama vita njaa na magonjwa
hawajawahi kuona picha za jiji letu na makazi yetu wala barabara zetu..

hata waandishi wenyewe wa Tanzania wanaoripotia vituo vya nje kama BBC hupiga picha zao mazingira mabovu kama kariakoo na uswazi,,kama wakumbuka Obama alivokuja uliona news walizoripoti BBC na eneo walilopiga picha?
hadi leo wapo wazungu wanaamini tunaishi katika miti,,na tunawajibu ndio tunaishi kwenye miti,,baba na mama kila mtu ana mti wake,wanashuka tu wakitaka kuzaa,,tunawajibu pia hata mabalozi wao wanaishi kwenye miti pia wanapokuja afrika....
kwa wenye akili hugoogle wenyewe......

Hiyo sasa imezidi, hao jamaa wanatudharau sana ila nasi pia tunajidharau kwani huku kwetu wengi wao huamini kwamba pasi na mzungu halifanyiki jambo wanaamin kuwa sisi ni mkia kwa wazungu.. Hapa unahisi tufanye nini kuondoa mawazo haya mgando

Lingine maamuzi ya viongozi wetu ni ya kuchekesha pia wanawachia wazungu migodi,madini,kila kitu wachukue kwa kodi kidogo sana kwa kuhongowa suti na fedha kiasi wanazowekewa banks za nje...
sasa kwanini wasitudharau????? Kama wanakubali kuwauza wananchi wao kwa kuhongwa na kutubakiza maskini watakupenda kwa lipi???? ukiona wanakuja afrika wanakuja kuchuma hakuna cha bure kwa Mzungu

Hapo ndipo haswa panapochefua hivi hao jamaa wanaelewa hata maana ya uzalendo? Hii ni aibu hata mtoto mdogo hawezi isaliti familia yake kwa familia nyingine ilhali ni familia yake ndyo imemlea, imemkuza na kumfanya ajulikane
 
Huyu msanii akija kutoka madarakani atakuwa amevuna sana kwa posho za safari zake ...atakuwa tri-o-nea wa bongo.
 
Back
Top Bottom