MachoMakavu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 367
- 44
utashindwa kushangaa wiki chache zijazo kakwaa tena pipa na bakuri lake!
Inasikitisha kuwa Tanzania kuna watu wa aina yako waso na uchungu hata kidogo na hii nchi,maana ktk yote yaliyosemwawatanzania wenzangu hivi hamjabaini kuwa uhusiano wetu na uingereza unasuasua hata jk kapunguza safari za huko kisa hawataki kukataliwa jambo kila ombi lao wanataka tukubali
Inasikitisha kuwa Tanzania kuna watu wa aina yako waso na uchungu hata kidogo na hii nchi,maana ktk yote yaliyosemwa
ni kweli kabisa.Na hata kama waingereza walifikia kutoa hayo masharti ni baada ya kuona udhaifu wa Rais wetu na kuwa
ombaomba sana kwa wazungu wakati Tanzania ni tajiri na yeye hana mpango wa kutumia vizuri utajiri wetu zaidi ni
kutembeza bakuli kila siku.
kaka hii ilishabandikwa hapa,http://www.guardian.co.uk/business/2012/jan/26/davos-2012-day-2?commentpage=2#comment-14344505
Ni ndefu ila msichoke
hatuhitaji watuamulieUSA doesnt want him. So is UK! What about Tanzanians? Do we still need him? As of me and my house,
WE DONT NEED HIM!
Hivi Kikwete ni rais wa nchi gani vile?<br><br>
Hivi Kikwete ni rais wa nchi gani vile?<br><br>