Kichwa hicho hapo juu kinafaa sina namna ninavyoweza kueleza kwa kinachoendelea , watu wamejisahau wameshindwa kujua nguvu na siri kubwa ya Kimungu iliyoko kwenye uimbaji wa nyimbo za Injili. Wameamua kujichanganya na ulimwengu kabisa. Inasikitisha sana
Najua sio wote waliharibika lakini ninachoweza kusema asilimia kubwa wameharibika. Sijaelewa kabisa kinachoendelea , eti kuna umoja/shirikisho la wanamuziki Tanzania, ambapo waimbaji wa nyimbo za Injili na zile za dunia wanakutana pamoja kujadili muziki na uimbaji, Ole wa dunia. Nimesikitishwa na kitendo hiki sana na zaidi tuombeane Mungu aweze kudhihirika, Uwezi ukachanganya nuru na giza kamwe haitakuja kutokea na ikakubalika
Ni nyakati za Mwisho, Mungu atupe macho ya kuliona hili
Najua sio wote waliharibika lakini ninachoweza kusema asilimia kubwa wameharibika. Sijaelewa kabisa kinachoendelea , eti kuna umoja/shirikisho la wanamuziki Tanzania, ambapo waimbaji wa nyimbo za Injili na zile za dunia wanakutana pamoja kujadili muziki na uimbaji, Ole wa dunia. Nimesikitishwa na kitendo hiki sana na zaidi tuombeane Mungu aweze kudhihirika, Uwezi ukachanganya nuru na giza kamwe haitakuja kutokea na ikakubalika
Ni nyakati za Mwisho, Mungu atupe macho ya kuliona hili