waifu ananikaba...!!!!

waifu ananikaba...!!!!

Wala sio kwamba mkeo akupendi..hakuna kitu kinaudhi kama kudanganywa tatizo lenu ukimpigia mtu simu anasema unawivu sana.ukiulizwa uko wapi unarudi saa ngapi mnaona kama mnafatiliwa..ndio maana watu tunajinyamazia tu..end of day mnajishtukia kama hivyo maananatufanyaga walinzi wenu..

hata kumletea kijisapraiz inashindikana.....utatokaje?
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.
She is absessed with you au anaboeka!!Mtafutie hobby afanye...Hana marafiki wengine zaidi yako?
 
She is absessed with you au anaboeka!!Mtafutie hobby afanye...Hana marafiki wengine zaidi yako?

marafiki anao ila huwa hapendi kutoka,huwa ni kupiga tu stori kwenye simu na kutumiana sms,sijawahi kabisa kumsikia hata siku moja eti anatoka na marafiki zake.akitoka kazini ni nyumbani,nyumbani kazini.cna uhakika kama huwa anapita hata kwa marafiki zake coz mi huwa simfuatilii kabisa,huwa siulizi uko wapi na unafanya nini
 
marafiki anao ila huwa hapendi kutoka,huwa ni kupiga tu stori kwenye simu na kutumiana sms,sijawahi kabisa kumsikia hata siku moja eti anatoka na marafiki zake.akitoka kazini ni nyumbani,nyumbani kazini.cna uhakika kama huwa anapita hata kwa marafiki zake coz mi huwa simfuatilii kabisa,huwa siulizi uko wapi na unafanya nini
Ok..mtafutie tv shows atazame mfano mnunulie season zote za DESPARATE HOUSEWIVES/filamu au other hobbies mazoezi..vitu vya kumkeep busy!!hamna kitu anachopenda kufanya?kipo mnunulie zawadi ili apate activity ya kufanya peke yake bila kukutegemea wewe!
 
Tumia akili kidume acha kulalamika! Ukimjulia tu mkeo mtaishi wote kwa furaha na mpira utaangalia,function hadi mechi za kirafiki utashiriki!!

Imeandikwa "Wanaume ishini na wake zenu kwa akili"
 
wanaume mkipendwa sana mna shida. dawa yenu ni nyinyi kuwapenda wadada ambao hawana time na nyinyi ukimpigia simu anakwambia eheee nitafute usiku saa hizi niko busy anakukatia na simu. ukimletea zawadi unaambiwa loh hiki kizawadi gani cha kuniletea mimi chukua zawadi yako.

lakini yule anayekutafuta wewe kwa mapenzi au wivu wake kwako inakuwa kero. mapenzi bwana kazi kwelikweli.


ndo binadamu tulivyo, sio wanaume tu. Hata wanawake pia, ukimpenda sana anaona kero anataka yule ambaye hana time nae
 
nampendaga kwel mtu wa hvo bas rahaa akiwa anakaba teh teh ila pole mkubwa
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.
kwani hayo yote hukuyaona kabla ya kufunga ndoa?
 
marafiki anao ila huwa hapendi kutoka,huwa ni kupiga tu stori kwenye simu na kutumiana sms,sijawahi kabisa kumsikia hata siku moja eti anatoka na marafiki zake.akitoka kazini ni nyumbani,nyumbani kazini.cna uhakika kama huwa anapita hata kwa marafiki zake coz mi huwa simfuatilii kabisa,huwa siulizi uko wapi na unafanya nini

ha ha ha

hata mie nilikua hivyo kama mkeo, nilikua nakaba hivyo hivyo basi alikua anachukiaje, anaona kero

basi si nikaja kuacha kumfuatilia, yani hata sikumbuki mara ya mwisho kumpigia cmu ni lini.

basi siku hizi anatiaje huruma, yani anatafuta attention kwa njia zote, mie wala sina habari nae

yaani hadi namuonea huruma

yani am sure mkeo ni muaminifu kwa asilimia zote, ngoja akipata mtu nje ataacha kukusumbua
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.

Hayo ni mapenzi ya kizamani kuna muda wa kazi na muda wa kukaa na familia so jaribu kijirekebisha mdogo mdogo usiwe na muda maalumu kwa kurudi home ila naona umeshachelewa!
 
Smile!seriously?hujawahi kukaba katika maisha yako yote ya mapenzi?Mmmmh ...........................
aliekuwepo alikuwa hakabiki! alikuwa na maisha yake huwezi kumbadilisha kwa lolote akiamua leo ni mpira hata kama unaumwa kufa ataenda kwenye mpira!yaani alikuwa yeye kama yeye! sidhani kama nilikuwaga kichwani kwake kwa lolote! sasa mtu kama huyo utakaba nini.. mwishoni nikaona nitakuja kubabwa mie na pressur na kifo kakangu! si unajua maisha ni haya haya! kama mtu hakupendi utasubiri nini? utasubiria ndege bandarini kweli?
 
ha ha ha

hata mie nilikua hivyo kama mkeo, nilikua nakaba hivyo hivyo basi alikua anachukiaje, anaona kero

basi si nikaja kuacha kumfuatilia, yani hata sikumbuki mara ya mwisho kumpigia cmu ni lini.

basi siku hizi anatiaje huruma, yani anatafuta attention kwa njia zote, mie wala sina habari nae

yaani hadi namuonea huruma

yani am sure mkeo ni muaminifu kwa asilimia zote, ngoja akipata mtu nje ataacha kukusumbua
ahaaaa bado upo na yule nyumba ndogo?
dawa ya mwanaume asiejali ni kumtafutia msaidizi halafu unakuwa busy na msaidizi hadi basi... kwa nini mtu akutese kichwa chako?
 
aliekuwepo alikuwa hakabiki! alikuwa na maisha yake huwezi kumbadilisha kwa lolote akiamua leo ni mpira hata kama unaumwa kufa ataenda kwenye mpira!yaani alikuwa yeye kama yeye! sidhani kama nilikuwaga kichwani kwake kwa lolote! sasa mtu kama huyo utakaba nini.. mwishoni nikaona nitakuja kubabwa mie na pressur na kifo kakangu! si unajua maisha ni haya haya! kama mtu hakupendi utasubiri nini? utasubiria ndege bandarini kweli?

Mbona wako wengi wa dizaini hiyo...huyu kaka mstaharabu tu mtu anaweza akatoka ata bila gari akasema nakuja utaenda kufunga geti?mambo mengine yakujitakia tu..mie ningejikalia natizama movie akija sawa tu asiporudi aibu yake.
 
Huyo ni mkeo mkuu mfurahishe anavyotaka,kumbuka maisha ya ndoa ni furaha na kujenga uaminifu.Huyo ni mwanamke mzuri sana tena atakulinda na majanga mengi pamoja na ukimwi.Unaweza kwenda mpirani magaidi wakafanya kama westgate.Kaa nae anavyotaka utaona tabu ila ukishazoea utaona ni jambo sahihi.
 
Mbona wako wengi wa dizaini hiyo...huyu kaka mstaharabu tu mtu anaweza akatoka ata bila gari akasema nakuja utaenda kufunga geti?mambo mengine yakujitakia tu..mie ningejikalia natizama movie akija sawa tu asiporudi aibu yake.
kweli utamkaba mtu na meno yake 32 utamuwezea wapi ? kila mtu aishi anavotaka bwana!
 
kweli utamkaba mtu na meno yake 32 utamuwezea wapi ? kila mtu aishi anavotaka bwana!

Kuishi anavyotaka aiwezekani smile.kutakuwa hakuna discipline,kufatanafatana ndio mambo ya kijinga..kama leo mtu anaenda kunywa beer mimi nikose usingizi?namwambia we sema ukweli tu nitachelewa sio usilale nitarudi sasa hivi..hapana taka hayo mambo wkend njema smili
 
Nampongeza kwa kazi yake nzuri....maana sie tukiachiwa ni majanga....
Unataka kwenda mpirani mbebe...unataka kwenda party nenda nae...akigoma baki nae ndani...ndio ndoa hiyo

Ukiskia charismatic words ndio haya,sound so good ila magumu kwa wanaume including u kuyafatisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom