Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili...lakini waifu ananikaba sana, atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.
wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?
cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.
That is too much, lakini inakuja kwa sababu anakupenda sana sana, isitoshe hajawahi kuona chochote ambacho kinaonyesha kwamba wewe sio mwaminifu, in short anajiona kama vile siku akijua unacheat atajiua.
Kuna baadhi inafikia hata kuangalia game kama za UEFA usiku home unakataliwa, home sebureni hataki ubaki peke yako kwa kuwaza kwamba utaanza kuchat na madem badala ya kuangalia boli, ni wivu kwa sababu anakupenda.
Hii kuimaliza ni ubabe tu, huwezi kuimaliza kwa kushauriana naye, atazingua. Kama kuna game print ratiba mwambie naenda kuangalia game hii nah ii, akitaka aje. Ukienda naye kama game 6 mpaka 10 ataacha mwenyewe kukufata fata, tena pengine unaenda naye afu mnakuwa na washkaji unakuwa kama unamuignore kwenye stori zenu za mpira, ataboreka na kukuacha uanze kwenda peke yako.
Njia nyingine ni risk sana lakini ni nzuri zaidi kama ikifanya kazi, hii ni ya kutongoza demu afu meseji unaziacha kwenye simu, akiiona anamind, unajitetea mnasuruhisha yanaisha, unarudia tena kama mara tatu kwa intention za yeye kuona kwamba hata na udhibiti wote ila umeweza kufanya, so ataamua kukuacha ujichunge mwenyewe, sasa akishakuacha wewe ndo unatakiwa uonyeshe nidhamu, ukisema unaenda mpirani ni mpirani kweli. Risk yah ii ni kubwa hasa akiamua kukulipizia akaenda kugongwa kwengine.