waifu ananikaba...!!!!

waifu ananikaba...!!!!

Utakuwa umeshawahi kumtenda akapoteza imani yake kwako...au amewahi sikia adithi za wanaume wasio waaminifu kaamua kuwa makini kabla hajaibiwa...au ana matatizo ya kisaikolojia...majibu ni hayo matatu...

Ila atakuwa anateseka sana kama si kukonda...badala ya kulalamika unatakiwa umsaidie kwa kuongeza mapenzi...usisubiri awe anakupigia simu yeye tu nawe uwe unapiga....maana nimeshaona dalili za kuwa bidada ana try so hard na inakuwa kama penzi la upande mmoja (kapenda asipopendwa)

mkuu nyumba kubwa,nampenda sana waif.huwa anaelewa kama haujafika muda wa kuondoka.ukitaka kutoka tu....unalo
 
Hiv wenztu vip? Mkipendwa ohoo wankaba! Mkichukuliwa poaa oho wanawake sku hizi sio kabisa mwatakanin?
 
Hiv wenztu vip? Mkipendwa ohoo wankaba! Mkichukuliwa poaa oho wanawake sku hizi sio kabisa mwatakanin?


mkuu najua napendwa nami nampenda waifu sana tu but hebu tazama hii hali kwa jicho la tatu
 
Ww mbona una nafuu km leo ilikuwa arsenal vs liverpool na kick off ni 20. 30 pm ngoma mpaka iishe ni saa tano kasoro hiyo basi mlango ukishafungwa inabidi utafute pa kulala
mkuu mambo ya ndoa si vyema sana kuyaleta hapa kwani kila mtu ana mtazamo wake na ushauri wake na si kila ushauri wa kuuchukua. haya tukikwambia muache utamwacha?
kaeni chini myazungumze wenyewe.
 
weweeeeee ngoja nikupe dawa,huyo mkeo inabidi umpige mimba mfulululizo uone kama ataendelea kukubana ndio apigwe tu kama amekuchosha apigwe tu ,mpige mimba bandika bandua,mmmh asikwambie mtu dawa ya mwanamke mtata ni mimba tu.
 
wewe kwanini hizo function za kazini huendi nae?

au kuna jambo huko!

hapana bidada kwani function za kazini ni kwa ajili ya wafanyakazi tu,na unakuta kuna kadi zinatolewa na zikisisitiza kuwa ni kwa ajili ya wafanyakazi tu.ok fine naweza kwenda na waif but nitaonekanaje mbele ya staff wenzangu?ndo nitaanza kupigwa jungu,kwani wao hawana wake?etc etc
 
weweeeeee ngoja nikupe dawa,huyo mkeo inabidi umpige mimba mfulululizo uone kama ataendelea kukubana ndio apigwe tu kama amekuchosha apigwe tu ,mpige mimba bandika bandua,mmmh asikwambie mtu dawa ya mwanamke mtata ni mimba tu.

mkuu unamaanisha bandika bandua?
 
mbona nimetulia mkuu,mtu mzima akiamua kufanya kitu basi ujue kaamua na sio tamaa
Ukishajua una- mtoko wa kiofisi au kibinafsi kama mpira nk basi uwe unamkorogea uji wa Piriton ali alale wewe uende zako uendako hadi aje kutoka usingizini wewe utakuwa umerudi ulikoenda.
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.
Aisee kaka, bora ujinga unaokusaidia kuliko ujanja usio na faida... we baki na mkeo kama anavotaka... ukishupaza shingo yako hakika itavunjika na utajuta baadae.. hata wanaoibiwa wake zao walianza hiv hiv, wife anakuambia uumpe kampani halaf we unaamua kumuacha alone..... it will cost u... shauri yako
 
Aisee kaka, bora ujinga unaokusaidia kuliko ujanja usio na faida... we baki na mkeo kama anavotaka... ukishupaza shingo yako hakika itavunjika na utajuta baadae.. hata wanaoibiwa wake zao walianza hiv hiv, wife anakuambia uumpe kampani halaf we unaamua kumuacha alone..... it will cost u... shauri yako

nimekusoma mkuu
 
nenda nae kila sehemu, akishazunguka sana mwisho wa siku atachoka na kukacha uende peke ako
 
Kwa swala la mpira nunua Dstv au king'amuzi changu G6 uangalie mpira nyumbani. Swala la kiofisi angalia inayohitaji michango changia double all the time ili uwe unatoka naye.
 
i knw she is very right but namuona kama vile hayupo strong kusimama peke yake pale mitakapokuwa sipo.nikifa leo inaonekana familia itayumba sana
Unaweza kushangaa ukifa familia inakuwa na furaha kuliko sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom