Wahubiri chagueni maneno ya kuongea kanisani!

Wahubiri chagueni maneno ya kuongea kanisani!

Lukolo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2009
Posts
5,143
Reaction score
3,210
Pastor mmoja hupenda kuchangamsha waumini wake wakati wa mahubiri kwa kuwaambia,"Ambia jirani yako yesu anakupenda."

Leo akawa anahuburi kuhusu wanawake wasio pata mimba akaambia waumini,"Ambia jirani yako huu mwaka utapata mimba!

Watu waliokuwa wamekaa na wanaume wenzao wakabaki kimya.

Gafla tukasikia mtu amepigwa kofi huko nyuma,kisha mtoto mmoja akaanza kulia alafu baba yake akamwambia,"Shenzi wewe,ukome upuuzi!!"

Kumbe mtoto alimwambia baba yake,"Utapata mimba mwaka huu!!"
 
Pastor mmoja hupenda kuchangamsha waumini wake wakati wa mahubiri kwa kuwaambia,"Ambia jirani yako yesu anakupenda."

Leo akawa anahuburi kuhusu wanawake wasio pata mimba akaambia waumini,"Ambia jirani yako huu mwaka utapata mimba!

Watu waliokuwa wamekaa na wanaume wenzao wakabaki kimya.

Gafla tukasikia mtu amepigwa kofi huko nyuma,kisha mtoto mmoja akaanza kulia alafu baba yake akamwambia,"Shenzi wewe,ukome upuuzi!!"

Kumbe mtoto alimwambia baba yake,"Utapata mimba mwaka huu!!"

Duuuhh noma nafwaa mbavu zangu jaman.
 
ungeniona mimi je? yaani sina mbavu.....watu wote macho kwangu, lol!
Kuanzia leo siingii jamvii hili nikiwa kwenye kadamnasi kwani leo nimeumbuka na kuonekana mwehu!
 
huyu anaitwa pastor james ng'ang'a.
anbia jirani yako mwaka huu utapata mimba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom