Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,347
- 56,072
Jitolee kwanza utengeneze jina, fedha zitakuja tu zenyewe...na ukiwa kichwa utakuwa unazikimbia helaUnahis kufika huko bila ajira ni rahis..nan anakulipia masomo hayo kuwa specialist...hiv unaweza kusoma na njaa..mkuu naomba uingie chimbo kidogo ujue taratib had unakua bingwa inakuaje...