Wahitimu wa vyuo waokolewe

Wahitimu wa vyuo waokolewe

Cha kujifunza hapa, hatima ya maisha yako, yako mikononi mwako; ni kujaribu kutumia elimu ya darasani, kama imeshindwa kufanya kazi tumia kipaji ulichonacho, vinginevyo tutakuwa tunalaumu mpaka tunazeeka hakuna cha maana tulichofanya.
100%

Nimependa sana ule mgawanyiko wako wa kwanza fanya unachowaza ambacho kipo ndani ya mikono yako.
Be blessed.
 
Au tuajiri kwa rotation kila baada ya miezi 6 wanaingia watu wengine wengine wanaenda likizo ya malipo nusu.

Badala ya watu kukaa mwaka mzima kazini wakichati maofisini huku wengine wakisota mtaani.
hii ktu umeongea point sana.
 
Mmmmmmhmn unajua ukishapiga degree akili yako inakuwa kama imefungwa unashindwa kufanya maamuzi ya kufanya kazi zingine nje ya taaluma.

Hii kiukweli msiwalaumu hawa wahitimu wa chuo. Kusoma masomo miaka mitatu ni kuwa programed kiakili kufanya hilo jambo. Hivyo mtihani wa kufanya jambo jingine ni mgumu sana kwa hawa raia.....
Ukweli mchungu
 
hii ktu umeongea point sana.
Itatatua tatizo la ajira kwa kiwango kikubwa sana na hata ongezeko la gharama itakuwa ndogo.

Mathalani kama watumishi walioko kwenye ajira ni 7. Tutakuwa tumeajiri watu 1.4 hii no idadi kubwa sana ya watu itapunguza tatizo kwa kiwango kikubwa sana kwa graduates.

Waajiriwa wote kwenye operations wawe kwa rotation except top level managements hasa wanaokuwa appointed tu siyo midlevel managements.

Graduates hawatalia tena tatizo la ajira atleast kwa miaka kadhaa.
 
Ishu sio mshahara ni exposure na heshima ndicho walichoongelea hapo.
Imagine wewe ni graduate halafu unafanya kazi ya kubeba zege kwa mwezi uwe unapata laki 4,halafu mwingine ni dereva wa waziri kazi yake ni kumuendesha waziri hadi bungeni halafu akifika anakodiwa hotel,akiamka asubuhi anampeleka waziri mjengoni akitoka hapo anapiga misele town na VX au anakula bata hotelini jioni ikifika anaenda kumchukua tena waziri na kumrudisha hotelini basi kazi yake imeisha,naye mshahara uwe laki 4 plus posho kidogo.
Hapo mtakuwa sawa?
kwan hao madereva wa serikali mshahara wao n sh ngapi??
 
Hizi dharau sasa,yaani mkufunzi aache kazi yake akawe mshona viatu?
Tatizo ni soko la ajira mkuu, linataka kujua unasifa gani za kipekee kuliko wengine au unaweza kuzalisha faida kiasi gani kwa siku, au ujuzi wako unaweza kukusaidia vipi kujiajiri?
 
Jamaa ana mikwara sana anajifanya bonge la great thinker kumbe hajui hizo theories zake watu tulishazipitia zote na kugundua hazina success ni blah blah tu
Usiende mbali mkuu,jaribu kujiuliza ujuzi au fani yako imekusaidiaje kujiajiri?
 
wewe aliyekwambia ukiwa na phd ndio umetoboa maisha ni nani?Mo dewji ana phd?bakhresa ana phd?Manji ana phd?Rostam azizi ana phd?kumbe una ushamba wa kizamani wa kushindana kusoma bila mipango
Kama hukusoma walaumu waliokuleta duniani
 
Back
Top Bottom