Wahitimu wa vyuo waokolewe

Wahitimu wa vyuo waokolewe

Si kweli mkuu, fungua uzi ili upate ukweli...'wale wote mabingwa katika idara ya afya na hawana ajira wanyooshe mikono juu',wale wenye ujuzi uliotukuka wako mzigoni iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri. wale waliofuata vyeti ndio wako nje ya ulingo
Lakini mkuu kuna kitu kimoja hujakielewa huwa ubingwa mara nyingi mtu anaupata akiwa kazini tayari.

Sasa sijajua ukisema udaktari bingwa unamaanisha nini hasa labda unge specify unalenga madaktari wenye elimu ya masters,phd?
Au mwenye bachelor degree plus experience?
 
Huwez fika huko kabla hujawa medical..unaanza MD then ukitaka unajiendeleza huko..au mwenzangu unaelewa nn by medical doctor..uskute huelew
Ndio hicho kitu nilikuwa namuelekeza yeye anafikiri labda kwenye chuo cha udaktari kuna kozi inaitwa udaktari bingwa.

Hajui kwamba lazima upitie MD then badae unajiendeleza halafu unaspecialize kwenye kieneo kimoja unaweza kuspecialize kwenye mifupa,sikio(meno),ngozi na maeneo mengine.
 
Huu uzi waliopata kazi hata private watawabeza graduates,macho yangu haya na wao muda utawafikia watajikuta hawana kazi na watakumbuka kejeli zao.
 
Huwez fika huko kabla hujawa medical..unaanza MD then ukitaka unajiendeleza huko..au mwenzangu unaelewa nn by medical doctor..uskute huelew
Jitahidi ufike huko sasa,kulalamika hakusaidii
 
Ni directly Basi mkuu iwe simple Basi tukajitoleeee (surgical doctor )
Tatizo tunang'ang'ania mijini, ukinunua kile kifaa cha kupimia na ukaweka kiti hapo nje....wagonjwa watajileta wenyewe; fani za afya kwa asilimia kubwa kwa mtu makini ni rahisi kujiajiri,na wanahitajika sana.
 
Lakini mkuu kuna kitu kimoja hujakielewa huwa ubingwa mara nyingi mtu anaupata akiwa kazini tayari.
Sasa sijajua ukisema udaktari bingwa unamaanisha nini hasa labda unge specify unalenga madaktari wenye elimu ya masters,phd?
Au mwenye bachelor degree plus experience?
Wengi wanavyeti vikubwa utendaji kazi ni sifuri, we jaribu kujitolea tu katika hospitali yoyote....ukiona kila mgonjwa anakuulizia wewe tu umpatie huduma kuliko wengine jua uko fit,darasani hukwenda kufuata karatasi.
 
Kwa elimu ya bongo kazi huwa tunajifunzia kazini mkuu,huwezi kuwa fit kutoka chuo lazima ukiingia kazini usote miaka kadhaa kupata experience
Wengi wanavyeti vikubwa utendaji kazi ni sifuri, we jaribu kujitolea tu katika hospitali yoyote....ukiona kila mgonjwa anakuulizia wewe tu umpatie huduma kuliko wengine jua uko fit,darasani hukwenda kufuata karatasi.
 
Kwa elimu ya bongo kazi huwa tunajifunzia kazini mkuu,huwezi kuwa fit kutoka chuo lazima ukiingia kazini usote miaka kadhaa kupata experience
Nakubaliana na wewe mkuu, maeneo ya kujitolea yako mengi sana na yanazidi idadi ya watu au wahitimu hasa kwenye hii kada ya afya; tengeneza jina kwanza baadaye ndio fedha ifuate.
 
Naona wengine lawama zmekua nyingi ila hamjui tu! Mm na washikaji zangu wengi ni graduates wamenitangulia tena kozi nzuri tu mechanical &electrical engineering!

Mtu anaona kukaa idle sio mishe anaamua kutafuta hata nafasi za kujitolea (internship) ili kuzidi kujijenga na kupata uzoefu lakini kuzipata hizo nafasi bado ni mziki sana!
Mtu yuko willing usimpatie hata shillingi ila ndio hivyo bado hali inakua tough tu kupata chance!

Inshort maono ya serikali yetu bado sana kwenye ku support wahitimu!
Ngoja tukapambane tu mtaa haina namna!
 
Naona wengine lawama zmekua nyingi ila hamjui tu! Mm na washikaji zangu wengi ni graduates wamenitangulia tena kozi nzuri tu mechanical &electrical engineering!

Mtu anaona kukaa idle sio mishe anaamua kutafuta hata nafasi za kujitolea (internship) ili kuzidi kujijenga na kupata uzoefu lakini kuzipata hizo nafasi bado ni mziki sana!
Mtu yuko willing usimpatie hata shillingi ila ndio hivyo bado hali inakua tough tu kupata chance!

Inshort maono ya serikali yetu bado sana kwenye ku support wahitimu!
Ngoja tukapambane tu mtaa haina namna!
Walishajaribu kwenda gereji wakakosa?
 
dah mkuu umekariri miaka ya zamani hebu fanya sensa kidogo mitaani upate majibu sahihi
Tembelea hospitali yoyote unayoifahamu,angalia idadi ya wagonjwa na wahuguzi; kuna sehemu mgonjwa anachukua zaidi hata ya masaa sita hajamuona daktari.....hapo utaniambia kwamba mtu akiomba kujitolea atakosa nafasi?
 
Back
Top Bottom