Wahitimu wa vyuo waokolewe

Wahitimu wa vyuo waokolewe

kuna kipindi nilikua nataka watu (2) wakushusha mizigo ya duka katoro uko.

mimi si mwenyeji wa kule hivo niliandika tangazo tu hapo mbele ya duka.
walikuja watu 16 .
kwa bahati mbaya/nzuri ni watu 3 ndo walikua na elimu ya form 4 ila 12 wote walikua wamefika chuo degree na diploma.
wa 4 walikuja na cv kabisa niliumia sana .

mmoja alikua na cv nzito mno mno ilibidi nijaribu kuisambaza kwa rafiki zangu asee
ila wee jamaa ww mungu anakuona kaka
 
Sasa vitabu visipoandikwa mkuu,huko mashuleni na vyuoni mtaenda kujifunza kwa kutumia nini?Kuimba ngonjera au? Taaluma itabaki kuwa taaluma tu
Usidanganye watu bhana....lete list ya hio vitabu ulivyoviandika wewe na malimbukeni wenzako ambavyo vina impact yoyote kwenye Elimu ya Tanzania(Elimu ya juu)
 
Nashauri kwa wahitimu wetu,kama degree imeshindwa kufanya kazi, kasomeni kozi za muda mfupi za ufundi VETA. Ili maisha yaweze kusogea mbele
 
Kwa miaka ya karibuni imekuwa ni kazi kumpata HOUSE GIRL kuliko mtu mwenye MASTERS au BACHELOR. Hii imetokana na ongezeko la idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo kila mwaka kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya juu.

Hii imesababisha sintofahamu kwa wazazi juu ya future za watoto wao ambao wako mashuleni na wale ambao wamemaliza vyuo tayari.

Jambo la kushangaza zaidi ni baadhi ya kada kuwa na watu wenye elimu ndogo wanaolipwa mishahara ambayo inafanya wasomi wa juu wadharauliwe, embu imagine msomi anendesha BODABODA alafu dereva wa VX la waziri ni form four tena failure, Mwanajeshi anadrive BIMA graduate anaendesha bajaji ya BOSS, na kada nyingine nyingi

Wito wangu kwa serikali ni kurekebisha mifumo ya utoaji ajira ambayo itawafavour GRADUATES

Graduates pia wanaweza kuwa Madereva, Askari, Wanajeshi, wasaidizi wa viongozi, n.k

Lakini pia ni muda sasa wa kupitisha sheria ambayo itawataka taasisi kubwa zote Tanzania kuwa na Internships angalau asilimia 10 ya waajiriwa wote katika Taasisi fulani wawe interns nadhani tutapunguza ugumu wa maisha kwa hawa Graduates wanatia huruma kwakweli.
Ni hatari mkuu
 
Asaa kutoa ushauri Kama uoo inabidi uangalie na Bei yake je muhitimu anaweza aka afford au umeamua tu kutoa ushauri
Hela huwa ni matokeo mkuu, aende kujitolea hospitali za kata, wilaya, mkoa n.k huko hatakosa hata 500 ya mkate kwa siku. Wanaohitaji huduma ni wengi kuliko idadi ya watoa huduma, cha muhimu ni ujuzi alionao tu kama kweli aliivishwa vizuri huko chuoni.
 
Hela huwa ni matokeo mkuu, aende kujitolea hospitali za kata, wilaya, mkoa n.k huko hatakosa hata 500 ya mkate kwa siku. Wanaohitaji huduma ni wengi kuliko idadi ya watoa huduma, cha muhimu ni ujuzi alionao tu kama kweli aliivishwa vizuri huko chuoni.
Mukajitoleee,

Tumeomba kujitolea sana tumekosa.

Mununue vifaa mujiajiri

Sasa hatuna pesa ya kifaa kwani bure

Mukajitolee huko wilayani wapiwapi

🤔🤔🤔Haaa Keyboard Worrior mbona unaform Circular Convo like structure.
 
Mukajitoleee,

Tumeomba kujitolea sana tumekosa.

Mununue vifaa mujiajiri

Sasa hatuna pesa ya kifaa kwani bure

Mukajitolee huko wilayani wapiwapi

🤔🤔🤔Haaa Keyboard Worrior mbona unaform Circular Convo like structure.
Mkuu,shida yako unalalamika sana mpaka huko mbinguni wanakuchukia
 
Haha nimerahisishia Convo maana ndipo itapoelekea bwana kibodi anagonga swali linajibiw na bwana jobless bwana Worrior kong'ota lilelile.
Unaamini muuza kahawa na fundi viatu,anapata hela?
 
Tatizo kila mkipewa hizo elfu saba saba tu, basi mnasahau kupigania mustakabali wenu wa maisha ya muda mrefu. Tatizo ni CCM, mkifanikisha kukiweka kando mambo mengi yatakaa sawa. Utajiri wa nchi hii unawanufaisha genge la watu wachache sana, angalia maisha anayoishi Bashite na kauli zake za kukiri kula raha na mema ya nchi hii kuliko mtu yeyote yule. KALAGABAHO.
 
Kwa miaka ya karibuni imekuwa ni kazi kumpata HOUSE GIRL kuliko mtu mwenye MASTERS au BACHELOR. Hii imetokana na ongezeko la idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo kila mwaka kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya juu.

Hii imesababisha sintofahamu kwa wazazi juu ya future za watoto wao ambao wako mashuleni na wale ambao wamemaliza vyuo tayari.

Jambo la kushangaza zaidi ni baadhi ya kada kuwa na watu wenye elimu ndogo wanaolipwa mishahara ambayo inafanya wasomi wa juu wadharauliwe, embu imagine msomi anendesha BODABODA alafu dereva wa VX la waziri ni form four tena failure, Mwanajeshi anadrive BIMA graduate anaendesha bajaji ya BOSS, na kada nyingine nyingi

Wito wangu kwa serikali ni kurekebisha mifumo ya utoaji ajira ambayo itawafavour GRADUATES

Graduates pia wanaweza kuwa Madereva, Askari, Wanajeshi, wasaidizi wa viongozi, n.k

Lakini pia ni muda sasa wa kupitisha sheria ambayo itawataka taasisi kubwa zote Tanzania kuwa na Internships angalau asilimia 10 ya waajiriwa wote katika Taasisi fulani wawe interns nadhani tutapunguza ugumu wa maisha kwa hawa Graduates wanatia huruma kwakweli.

kwan siwali amua wenyewe kusoma kwani walilazi mishwa.......ifike maali watu waambiwetu ukweli kwamba now days ajira akuna aiijalishi koz gan ili mwanafunzi akiwa shulen ajue kabisa akimaliza atapambanaje na mazingira yanayo mzunguka.....elimu tunayo ipata ,koz nyingi zina uwanja mdogo sana zimekua specific sana not flexible nyingi aziwezi kutusaidia kupambana na mazingira yetu wenyewe zina tufanya tuna dumaa kifikra kibaya zaid Sisi watoto tulio toka ktk familia masikin ndo tunao komalia elimu tukizani kwamba ndo mkomboz wetu wazaz wana uza ng'ombe na mashamba kutupeleka shuleni wakitegeme makubwa kwetu at the end of 3,4 or 5 years tunarudi home na mabegi,jobless unaanza kulelewa tena na wazazi ambao wamejila for more than 16 years its so sad jaman ...elimu ilikua mkomboz wa masikin zamani izo +political atmosphere .....
 
Back
Top Bottom