mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,760
Sio mipasho nilikuwa nakuelekeza tuMimi sijakataa kukosolewa kabisa Sasa badala ujibu hoja unaleta mipasho na blah blah za hisia hapo uelewekeje?
Sio mipasho nilikuwa nakuelekeza tuMimi sijakataa kukosolewa kabisa Sasa badala ujibu hoja unaleta mipasho na blah blah za hisia hapo uelewekeje?
Uliandika hisia nje kabisa nilichomaanisha Hadi nikashangaaSio mipasho nilikuwa nakuelekeza tu
Uliandika hisia nje kabisa nilichomaanisha Hadi nikashangaa
Sijaumia kwa loloteooh pole bibie kama nimekuumiza sikuwa na lengo baya
Sijaumia kwa lolote
Vizuri kama hujaumia kumbe una roho kama ya kizungu.
Nakukaribisha pm
Uliza hapa hapaNakuomba pm kuna kitu nikuulize
Uliza hapa hapa
habari unazoongea kijana ni za mwaka arobaini.Cha kujifunza hapa, tusome fani/ujuzi ambao muajiri atatutafuta na sio sisi kutafuta muajiri; kama utatimiza hayo, ajira itakuwa sio tatizo kwako kwa sababu soko litakuwa linakutafuta na si wewe kulitafuta soko.
Mfano,ukivunjika meno hapo utamuhitaji nani? Na je atakutafuta au utajipeleka mwenyewe?habari unazoongea kijana ni za mwaka arobaini.
kazi kukutafuta si zama za sasa.
mkuu si ukalime mashamba yote haya ?Hebu acheni kurushiana maneno makuu....nipeni connection nipate kazi jamani!!
Mie ni graduate from Sokoine University of Agriculture (2018)
Nipo Dar es salaam napambana na hali yangu ila hali ni tete kweli kweli wakuu
Mtaji ndo kitendawili mkuu....ntaanza kukatua ardhi bila vitendea kazi na rasilimali fedha mkuu?mkuu si ukalime mashamba yote haya ?
Weka tu hapa duniani hamna siriNi kitu cha siri
Siri inaweza kuwepo kati yangu na weweWeka tu hapa duniani hamna siri
Kwa miaka ya karibuni imekuwa ni kazi kumpata HOUSE GIRL kuliko mtu mwenye MASTERS au BACHELOR. Hii imetokana na ongezeko la idadi kubwa ya vijana wanaomaliza vyuo kila mwaka kutoka vyuo mbali mbali vya elimu ya juu.
Hii imesababisha sintofahamu kwa wazazi juu ya future za watoto wao ambao wako mashuleni na wale ambao wamemaliza vyuo tayari.
Jambo la kushangaza zaidi ni baadhi ya kada kuwa na watu wenye elimu ndogo wanaolipwa mishahara ambayo inafanya wasomi wa juu wadharauliwe, embu imagine msomi anendesha BODABODA alafu dereva wa VX la waziri ni form four tena failure, Mwanajeshi anadrive BIMA graduate anaendesha bajaji ya BOSS, na kada nyingine nyingi
Wito wangu kwa serikali ni kurekebisha mifumo ya utoaji ajira ambayo itawafavour GRADUATES
Graduates pia wanaweza kuwa Madereva, Askari, Wanajeshi, wasaidizi wa viongozi, n.k
Lakini pia ni muda sasa wa kupitisha sheria ambayo itawataka taasisi kubwa zote Tanzania kuwa na Internships angalau asilimia 10 ya waajiriwa wote katika Taasisi fulani wawe interns nadhani tutapunguza ugumu wa maisha kwa hawa Graduates wanatia huruma kwakweli.
Angalia alibaba na vyanzo vingineAchana na zahanati me mekuuliza price ya icho kifaaa
naona umetafuta sababu ya kututukana makapuku tu chifu
tushindwe kwenye hela na viuno pia! haiwezekani