mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 9,909
- 13,288
Mimi sio graduate ww ila ni mdau mkongwe ambaye nafuatilia trends za kazi zinavyokwenda ndio maana najua A to Z soko la kazi linavyokwenda.
Shida yako wewe sio mfuatiliaji umekariri soko la miaka 5 iliyopita unafikiri ni sawa na sasa.
Kiufupi sasa hivi waajiri wamebadilika kutokana na mrundikano wa graduates mitaani inawafanya wawe viburi kuwaburuza watu watakavyo.
Shida yako wewe sio mfuatiliaji umekariri soko la miaka 5 iliyopita unafikiri ni sawa na sasa.
Kiufupi sasa hivi waajiri wamebadilika kutokana na mrundikano wa graduates mitaani inawafanya wawe viburi kuwaburuza watu watakavyo.
Si kweli mbona Mimi nilipata bila kujuana na mtu, endelea ku apply bila kuchoka maana Ni bundle lako tu,maana Mimi kabla ya hapo nilisha apply nafasi nyingi sikumbuki idadi, Yani daily naaply kazi hata tano Hadi nilivokuja kupata hii, Sasa graduates mna kata tamaa hamu apply mkifikiria watu wote hubebwa
