Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kitendo cha Wahisani/Wadau wetu wa Maendeleo kuhudhuria kesi ya Mbowe lengo lilikuwa ni kutuma ujumbe kuwa kesi hii tunaofuatili na tunasubiri kuona mwisho wake(hukumu itakuwa ni ipi).
Baada ya hukumu kutolewa, ni wazi na wao wataamua nini cha kufanya na kwakuwa hawezi kuhoji maamuzi yatayotolewa, tusitegemee wataongea chochote bali tutaona vitendo tu.
Kwa mwenye akili, atajua nini kitafuata.
Napalta hisia ya kuongezeka na kuibuka kwa tozo mpya(sababu utaijua wakati ukifika in case unashindwa kuelewa nini kitatokea).
Maisha yakibadilika, wananchi watajua ni nani kabadilisha maisha yao- mpaka hapo, mwenye faida au hasara utakuwa umeshamjua.
Tusubiri .
Baada ya hukumu kutolewa, ni wazi na wao wataamua nini cha kufanya na kwakuwa hawezi kuhoji maamuzi yatayotolewa, tusitegemee wataongea chochote bali tutaona vitendo tu.
Kwa mwenye akili, atajua nini kitafuata.
Napalta hisia ya kuongezeka na kuibuka kwa tozo mpya(sababu utaijua wakati ukifika in case unashindwa kuelewa nini kitatokea).
Maisha yakibadilika, wananchi watajua ni nani kabadilisha maisha yao- mpaka hapo, mwenye faida au hasara utakuwa umeshamjua.
Tusubiri .