Tatizo police wanapelekwaga vilaza wengi,angalia mtu kama Sirro eti ni igp!View attachment 1923813
Huu ni ushahidi kuwa kesi ya Mbowe inahusiana na kongamano la katiba mpya.
Hii nilikuwa sijaona mkuu.Beberu!😁😁😁
View attachment 1923842
Alitweet,nenda kwenye page yake ya twitter utaona hiyoHii nilikuwa sijaona mkuu.
Umeona wapi nchi inayoendeshwa Bila kufuata Sheria inaendelea?I think you are the one with slavery mind banana republic republic will never achieve sustainable developmentSlavery mentality!! Mtasubiri sana kwa akili hizi.
Wewe ndiye msemaji waoKitendo cha Wahisani/Wadau wetu wa Maendeleo kuhudhuria kesi ya Mbowe lengo lilikuwa ni kutuma ujumbe kuwa kesi hii tunaofuatili na tunasubiri kuona mwisho wake(hukumu itakuwa ni ipi).
Baada ya hukumu kutolewa, ni wazi na wao wataamua nini cha kufanya na kwakuwa hawezi kuhoji maamuzi yatayotolewa, tusitegemee wataongea chochote bali tutaona vitendo tu.
Kwa mwenye akili, atajua nini kitafuata.
Napalta hisia ya kuongezeka na kuinuka kwa tozo mpya(sababu utaijua wakati ukifika in case unashindwa kuelewa nini kitatokea).
Maisha yakibadilika, wananchi watajua ni nani kabladilisha maisha yao- mpaka hapo, mwenye faida au hasara utakuwa umeshamjua.
Tusubiri .
View attachment 1923825
Nimeshaangalia nimeiona. Wanawavutia kasi kabla ya kuwakatia misaada na mikopo.Hata wao wanajua hii ni kesi fake kwasababu za kisiasa(kudai katiba mpya).Alitweet,nenda kwenye page yake ya twitter utaona hiyo
CC: kololaBeberu!😁😁😁
View attachment 1923842
Si ukalale kule malaloni kwake sasa?? Naona unaendelea kuteseka na mizimu...Utopolo kazini!!
Mugabe hakuchukua hata mwaka kibano kikaanza. Samia hata miezi 6 haitapita!!Slavery mentality!! Mtasubiri sana kwa akili hizi.
Kabisa kwa wao siku zote baniani mbaya sana lakini kiatu chake dawa.CCM ndie baba wa slave mentality, kila siku bakuli ulaya karibia miaka 60 baada ya uhuru.
Pengine wanachotaka kuhakikisha ni je Tanzania kuna ugaidi au hakuna ili wajue wachukue tahadhari gani.Kitendo cha Wahisani/Wadau wetu wa Maendeleo kuhudhuria kesi ya Mbowe lengo lilikuwa ni kutuma ujumbe kuwa kesi hii tunaofuatili na tunasubiri kuona mwisho wake(hukumu itakuwa ni ipi).
Baada ya hukumu kutolewa, ni wazi na wao wataamua nini cha kufanya na kwakuwa hawezi kuhoji maamuzi yatayotolewa, tusitegemee wataongea chochote bali tutaona vitendo tu.
Kwa mwenye akili, atajua nini kitafuata.
Napalta hisia ya kuongezeka na kuibuka kwa tozo mpya(sababu utaijua wakati ukifika in case unashindwa kuelewa nini kitatokea).
Maisha yakibadilika, wananchi watajua ni nani kabadilisha maisha yao- mpaka hapo, mwenye faida au hasara utakuwa umeshamjua.
Tusubiri .
View attachment 1923825
Yeah.... na kina Hamza watazalishwa wengi tu!Mbowe ni gaidi.
Mama kishasema wahisani na masharti yao magumu wakwende zao