Wahindi wanasoma na kuiba nyota ya watu

Umenikumbusha, kanisani kwenye ibada ,mch. Alipofanya maombi kuna kijana alianguka,akalipuka kumbe ktk kutafuta kazi alituma cv yake ktk kampuni moja ya magazeti,wakachukua huko nyota yake kupitia cv!
Amehangaika mpk ss akaamua kuja kanisani ndo kufunguliwa,nyota ikarudishwa na kazi kashapata....coz baada ya kufunguliwa eti akaanza kupigiwa cm wanasema mbona tumekutafuta sn ,u can imagine!

Wanaobisha wengi wao wamefungwa ufahamu hawaelewi kinachoendelea!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyota inabeba maisha ya mtu. Hawa watu si wazuri kwakwel mumy. Wanaharibu maisha ya mtu hivi

In ua Presence Jesus is where I belong
 
Hizi habari zipo sana na uhalisia wake ni zaidi ya asilimia 70. Ninafahamu mengi na madam kwakuwa umeligusia ninaweza kuleta full version.... wengi wa watumishi wa muda mrefu kwa wahindi hawana vivuli hata u search kwa darubini kali ya Afande Sele
Vivuli vinavyoongelewa hapa ni vipi? Hivi vinavyoletwa na uwepo wa miale ya mwanga au ni vivuli vya kichawi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi yale majani makavu kwenye milango ya frem za wahindi wanayoyaning'iniza yana maana gani?

Huwa wanachoma maarufu ya ajabuajabu halafu yanafanana kwenye maduka yao yote,

Mara wanasema ukimpa pesa kwa mkono fulani anakuambia weka mezani hupokei mkononi,

Ila kiukweli sijawahi kumuona mtu aliyefanya kazi kwa muhindi ametajirika, wengi ni dhoofu kimwili, wachafu (nguo moja kwa muda mrefu), masikini na mara nyingi hawana raha.
 
SWALI : Mtaalamu, kwa heshima na taadhima ninaomba unisaidie suala langu. Mimi ni mwanamke mkaazi wa manispaa ya Nyamagana, jijini Mwanza, umri wangu ni miaka 37, mume wangu ana miaka 45 sasa. Tangu tumefunga ndoa, huu ni mwaka wa kumi na tano. Mimi nina jishughulisha na biashara ya ufundi cherehani. Mume wangu amesoma hadi Chuo Kikuu, amesomea mambo ya kompyuta.



Tangu mwaka 2000 mume wangu amekuwa akifanya kazi kwenye Internet Café ya Muhindi . Hela anayo lipwa kidogo sana, na kutokana na uchapaji kazi wake, kampuni nyingi zimekuwa zikimfuata zikitaka kumuajiri tena kwa kulipa hela nyingi zaidi ya zile anazo lipwa kwa huyo tajiri muhindi.

Unyayo


Lakini cha kushangaza mume wangu amekuwa akiwakatalia. Maisha tunayo ishi hayaridhishi hata kidogo, tunazidiwa mpaka na vijana wadogo walio anza maisha juzi tu. Nikimwambia mume wangu, atafute sehemu yenye maslahi, anakataa. Nikiwambia tutunze hela, afungue nay eye internet café yake, anakataa pia, yeye amekazana na kumtumikia huyo muhindi.


Siku moja nikiwa naongea na shoga yangu mmoja, akaniambia inawezekana mume wangu atakuwa amefanywa msukule wa ofisini na huyo bosi wake muhindi. Eti mtaalamu, hivi ni kweli, jambo hilo linawezekana kwamba kweli mume wangu amefanywa msukule wa kazi na bosi wake ? kama ni kweli ninamtoaje kwenye huo utumwa ?


JIBU.

Pole sana dada angu kwa madhila yaliyo mkuta mume wako. Ni kweli kabisa, wapo misukule wa ofisini. Uchawi huu, hufanywa na wamiliki wa kampuni na biashara mbalimbali. Walengwa wakuu wa uchawi huu ni kwanza wafanyakazi wachapakazi walio na weledi wa kazi husika, na pili wafanyakazi ambao nyota zao zinaendana na biashara husika.


Wapo misukule wa aina mbili. Misukule wanao onekana kwa macho ya nyama, na misukule wasio onekana.



Misukule wasio onekana ni watu wanao dhaniwa kufa, lakini kiukweli wanakuwa hawajafa, isipokuwa wanakuwa wamechukuliwa kichawi.



Ilihali misukule wanao onekana, ni watu wanaoishi kama watu wengine, lakini nyota zao zinakuwa zimechukuliwa na wachawi kwa matumizi yao binafsi (wachawi ) na pia nafsi.




Misukule wa maofisini wapo katika kundi la misukule wanao onekana . Watu hawa hupumbazwa kufungwa kichawi na kufanywa watumishi wa walio wapumbaza, kwa kadri walivyo nuiziwa. Wapo walio nuiziwa kuwatumikia mabosi wao kwa miaka kumi, wengine ishirini, wengine thelathini na w engine katika maisha yao yote.



Msukule huyu anaweza kuwa bar maid, meneja wa bar, House Girl, House Boy, Mkata majani, mkurugenzi wa kampuni kubwa, Mwalimu, daktari,mwanasheria, fundi wa magari, Mtayarishaji wa muziki, muuza mayai, au Ice Cream nakadhalika.


JINSI MISUKULE WA MAOFISINI WANAVYO TENGENEZWA.

Ili kumtengeneza mtu na kumfanya awe msukule wa ofisi mambo yafuatayo hufanyika.



Kwanza zinachukuliwa nyayo zake, kisha zinafungwa kwenye kitambaa cheusi pamoja mchanganyiko wa miti ya kichawi ya aina arobaini na dua maalumu ya kumfunga muhusika.


Pili linachimbwa shimo lenye urefu wa futi saba, ndani ya shimo hilo inafanyika kafara ya PUNDA MWENYE ALAMA YA MSALABA MGONGONI na kondoo mwenye rangi nyeusi bila doa lolote, halafu nyayo za mtu huyo zilizo fungwa kwenye kitambaa cheusi zikiwa pamoja na miti arobaini ya kichawi na dua yake, vinatupiwa kwenye shimo hilo huku maneno Fulani ya kichawi yakitamkwa.


Baada ya hapo litachukuliwa jiwe lenye uzito unao endana na idadi ya miaka ambayo mchawi anataka kumtumikisha muhusika.


Kama anamtaka kwa mwaka mmoja, basi jiwe huwa na uzito wa kilo moja, kama ni miaka kumi basi jiwe huwa na uzito wa kilo kumi, kama ni miaka thelathini, basi mawe yawe na uzito wa kilo thelathini, na kama anataka kumtumikisha maisha basi ataweka mawe yenye uzito wa kilo hamsini hadi miaka. Mawe hayo hukandamiza hicho kitambaa.


Baada ya hapo shimo hilo litafukiwa kwa udongo wa makaburini. Mambo haya yakisha fanyika, utachukuliwa mchanga wa kwenye kivuli cha muhusika, utachanganywa na dawa nyingine za kichawi ambazo idadi yake ni tisa, vitu vitafungwa kwenye kitambaa cheusi, na kuhifadhiwa kwenye kibuyu au chungu cheusi chenye dawa za kichawi kwa siku saba, baada ya hapo atachukuliwa kuku mweusi ambaye ataunguzwa kwenye chungu cheusi akiwa mzima hadi awe majivu.


Majivu hayo, yatagawanywa mara mbili, kisha fungu la kwanza atalishwa PUNDA MWENYE ALAMA YA MSALABA MGONGONI na kisha atazikwa akiwa mzima mzima, na fungu la pili atalishwa kondoo mweusi na kuzikwa akiwa mzima mzima.


Baada ya hapo litafanyika tambiko jingine la kafara ya PUNDA MWENYE ALAMA YA MSALABA MGONGONI na kondoo mweusi.


Kabla ya kuchinjwa kondoo pamoja na punda hao watalishwa dawa fulani za kichawi, na baada ya kuchinjwa nyama ya punda na kondoo watakao tolewa kafara, itatumika kumlisha mtu au watu walio kusudiwa. Mara nyingi huwa kwenye sherehe, hafla, au anaweza kukuita nyumbani kwake, kisha nyama husika ikawa kitoweo chako.



MTU AKIFANYIWA ULOZI HUU, HUWA MTUMISHI MTIIFU KATIKA MAISHA YAKE YOTE. AINA HII YA ULOZI HUTUMIKA PIA KATIKA MAPENZI.


Jinsi Ya Kujikinga Na Ulozi Huu:

Ili kujikinga na ulozi huu, mhusika afanyiwe tambiko maalumu la kumkinga dhidi ya uchawi na ulozi wa aina yote ile. Na kama tayari mtu ameshafanyiwa ulozi huu, basi lifanyike tambiko maalumu la kurudisha nyota yake na kumfungua kutoka kwenye kifungo hicho.



Katika tambiko hilo, ni lazima sehemu iliyo tumika kuzika unyayo wa muhusika, igunduliwe na kisha tambiko maalumu likafanyike katika eneo hilo.
Duh sasa kama hujagundua hilo eneo inakuwaje hapo kuweza kupona
 
Hizi imani za kishirikina zilishapitwa na wakati kitambo sana,
Ni mambo ya za zama za mawe,enzi zile za zama za ujima,

Hizi imani za kuamini vitu vya kusadikika ndio zilisababisha watu wengi kuuawa kwenye vita vya maji maji,waliaminishwa kua ukisema "maji" eti risasi itageuka na kua maji..!! (Hili ni somo la historia shule ya msingi enzi zilee)

Tupo kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia, hakuna taifa lolote hapa duniani lililopata maendeleo yake kwa kuamini ushirikina na mambo ya kusadikika, tubadilike twende na wakati hizi ni zama zingine tena,

Juhudi zako,maarifa,nidhamu ya kazi na kujiwekea malengo yako ndio vitu vitakavyokupa maendeleo.
Ww unasema kitu usichokijua hao unasema wame endelea wanafanya sana makafala na uchawi , sema tofauti yao na yetu ni kuwa wao wanafanya uchawi wa maendeleo wakati sisi ni wa kukomoana tu
 
Sio wahindi tu wanaiba nyota za watu hata ngozi nyeusi ukikaa vibaya tu ananyanyua nyota yako. Ni mambo yapo lakini kuthibitisha ni kazi!!! Ni aina ya usanii wa kichawi, anayekufanyia ni mtu wa karibu ,unaweza kuishi kwa taabu na hiyo taabu imesukwa na mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ya matajiri kuwageuza wafanyakazi wao misukule yapo sana. Amini usiamini asilimia kubwa sana ya matajiri nchini wanachukua nyota za watu waliowaajiri na kuzitumia kuongeza utajiri wao. Sio wahindi tu hata matajiri waafrika

Hahaa mhh kwa hiyo hata reginald mengi anaiba nyota za watu alioajiri ZEE LA HEKIMA
 
Vijana acheni ubishi uchawi upo....every person on earth has a spiritual identity inayo eleza destiny ya mtu itakuaje mpaka mwisho wake.

Soma Mathew 2 : 1 - 5 uta note baada ya Yesu kuzaliwa wale mamajusi (wale ni astrologers na wanajimu kuna baadhi ya bible versions wametambuliwa hvyo) walisha soma nyota na kuona kuna mfalme amezaliwa....wakamtrace na kumfatilia ili wakamsujudie na kumtolea zawadi (sio nyota za angani ni nyota za life destiny)

Sasa wachawi wengi wanaiba spiritual identity ya mtu mwenye kipawa katika either biashara, elimu, uongozi etc. na kuzitumia wao kwa manufaa yao but spiritually.

Soma kitabu cha Mwanzo : 1 pale katika uumbaji wa Mungu uta note Nuru na Giza vilikuwepo hata kabla Mungu hajaumba jua, mwezi na nyota. That means kila kiumbe hapa duniani kuna a spiritual realm/force behind it that makes it function well ( Wachache sana wanajua hili na ujinga wa wengi ndio nguvu ya wachache )

Kuna siri nyingi sana kwenye hii dunia mwana wa adamu hajui. Mi sio mchawi ila naamini Mungu yupo na hizi mambo zipo sanaa tu.

Kaa vizuri na wazee wa mila au kaya piga nao hadithi wengi sana watakuambia " Sio kila tajiri anayefanya sherehe hapa mjini uwe unaenda, unahudhuria unakunywa unakula na kusaza, wengine wana mbinu zao chafu.......... (wanafagia unyayo/mchanga wote ule wanaenda kucheza nao ) ...........na kuiba spiritual identity za watu ki mazingara na kuzitumia kwenye mambo yao "

The world is what it is and you are what you are. What a wild world that drives a man to Sin. Wisen Up Fellas.

Kwahiyo mzee mengi akifanya sherehe ya kualika walemavu huwa anachukuaga nyota za watu Senior Boss
 
Kwahiyo mzee mengi akifanya sherehe ya kualika walemavu huwa anachukuaga nyota za watu Senior Boss

Nani kasema ??
Post yangu umeisoma vizuri ukaielewa au unakurupuka tu ??

Kwa hyo unachotaka kusema wewe kwamba mimi nimesema matajiri wote ni wachawi au wana hela za uchawi ??

Kwani nani hajui kuna matajiri wengi tu wanaotuzunguka wamepata hela zao kwa kujituma/bidii na kuwa na nidhamu ya kazi na hela ?? Wapo wa halali na wapo baadhi wenye mafanikio ya kishenzi shenzi.
 
Hizi habari zipo sana na uhalisia wake ni zaidi ya asilimia 70. Ninafahamu mengi na madam kwakuwa umeligusia ninaweza kuleta full version.... wengi wa watumishi wa muda mrefu kwa wahindi hawana vivuli hata u search kwa darubini kali ya Afande Sele
Mmhh mshana jr utanifanya niote ucku vivuli tena.....
Alaf nnashost yangu ni muhindi ntaanza kumu avoid
 
Vijana acheni ubishi uchawi upo....every person on earth has a spiritual identity inayo eleza destiny ya mtu itakuaje mpaka mwisho wake.

Soma Mathew 2 : 1 - 5 uta note baada ya Yesu kuzaliwa wale mamajusi (wale ni astrologers na wanajimu kuna baadhi ya bible versions wametambuliwa hvyo) walisha soma nyota na kuona kuna mfalme amezaliwa....wakamtrace na kumfatilia ili wakamsujudie na kumtolea zawadi (sio nyota za angani ni nyota za life destiny)

Sasa wachawi wengi wanaiba spiritual identity ya mtu mwenye kipawa katika either biashara, elimu, uongozi etc. na kuzitumia wao kwa manufaa yao but spiritually.

Soma kitabu cha Mwanzo : 1 pale katika uumbaji wa Mungu uta note Nuru na Giza vilikuwepo hata kabla Mungu hajaumba jua, mwezi na nyota. That means kila kiumbe hapa duniani kuna a spiritual realm/force behind it that makes it function well ( Wachache sana wanajua hili na ujinga wa wengi ndio nguvu ya wachache )

Kuna siri nyingi sana kwenye hii dunia mwana wa adamu hajui. Mi sio mchawi ila naamini Mungu yupo na hizi mambo zipo sanaa tu.

Kaa vizuri na wazee wa mila au kaya piga nao hadithi wengi sana watakuambia " Sio kila tajiri anayefanya sherehe hapa mjini uwe unaenda, unahudhuria unakunywa unakula na kusaza, wengine wana mbinu zao chafu.......... (wanafagia unyayo/mchanga wote ule wanaenda kucheza nao ) ...........na kuiba spiritual identity za watu ki mazingara na kuzitumia kwenye mambo yao "

The world is what it is and you are what you are. What a wild world that drives a man to Sin. Wisen Up Fellas.
Point kubwa sana umeongea watu wengi haya mambo ya kiroho hawayajui kabisa
 
Hizi habari zipo sana na uhalisia wake ni zaidi ya asilimia 70. Ninafahamu mengi na madam kwakuwa umeligusia ninaweza kuleta full version.... wengi wa watumishi wa muda mrefu kwa wahindi hawana vivuli hata u search kwa darubini kali ya Afande Sele
Im interested! Unitag ukianzisha uzi huu
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom