Wahindi wahama Moshi

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Kumekucha Arumeru na sisi kama watanzania tunaotakia mema nchi hii tumeamua kujitoa kwenda kusaidia mapambano huko Arumeru, tumeingia Jiji la Moshi jana mchana na kwa mara ya kwanza nimepata nafasi ya kutembea mji wa moshi baada ya miaka mingi, huwa nakuja moshi kila mwaka lakini kila tukifika moshi tunakuwa hatuna muda wa kutembea na tunaendelea moja kwa moja hadi kijijini kwetu ambako huko hukaa hadi likizo ikiisha na huondoka kwenda stand ya mabasi na kuishia unakotakiwa kwenda.

Lakini kwa sasa nimepata nafasi ya kutembea jiji hili na kushangaa jinsi maduka makubwa niliyozoea kuyaona wakati nikiwa mdogo hayapo tena, nimeshangaa kuona zile nyumba walizokuwa wanaishi wahindi zimegeuzwa kuwa za biashara mbalimbali ambazo zinaendeshwa na watanzania wenzetu.

Tulipodadisi tumeambiwa wahindi wamekimbia baada ya kushindwa mashindano ya biashara, kwa kweli nimeshangaa sana kumwona mwafrica akimpiga bao muhindi, kazi inaendelea tutawaletea update za Arumeru kaeni mkao wa kula!
 
Kumekucha Arumeru na sisi kama watanzania tunaotakia mema nchi hii tumeamua kujitoa kwenda kusaidia mapambano huko Arumeru,tumeingia Jiji la Moshi jana mchana na kwa mara ya kwanza nimepata nafasi ya kutembea mji wa moshi baada ya miaka mingi,huwa nakuja moshi kila mwaka lakini kila tukifika moshi tunakuwa hatuna muda wa kutembea na tunaendelea moja kwa moja hadi kijijini kwetu ambako huko hukaa hadi likizo ikiisha na huondoka kwenda stand ya mabasi na kuishia unakotakiwa kwenda,lakini kwa sasa nimepata nafasi ya kutembea jiji hili na kushangaa jinsi maduka makubwa niliyozoea kuyaona wakati nikiwa mdogo hayapo tena,nimeshangaa kuona zile nyumba walizokuwa wanaishi wahindi zimegeuzwa kuwa za biashara mbalimbali ambazo zinaendeshwa na watanzania wenzetu,tulipodadisi tumeambiwa wahindi wamekimbia baada ya kushindwa mashindano ya biashara,kwa kweli nimeshangaa sana kumwona mwafrica akimpiga bao muhindi,kaiz inaendelea tutawaletea update za Arumeru kaeni mkao wa kula!

M- Mungu
O-Onyesha
S-Sehemu
H-Hela
I-Ilipo
 
Wahindi Wahama Moshi na Mambo ya arumeru ya husiano gani?? Umeandika hii post ukiwa usingizini nini>>>?
 
Hongera wachagga. Mji ni msafi pia
haraka unaweza ukadhani kuwa mleta hoja anaanzisha ile dharau, majigambo na kujisifu lakini hii ni hali ya muhimu sana kwa Watz wa kweli na kuna mengi ya kujifunza hapa kwa maaneo na miji mingine ya nchi hii.

Hongera wakazi wa Moshi
 
mambo ya halimashauri zikiwa chini ya cdm mji unakuwa swafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.............
 
Moshi miaka yote haina idadi kubwa ya wahindi kama ilivyo kwa mikoa mingine hapa nchini. Nafikiri mtoa mada hujui historia ya moshi vizuri.
 
wachaga ni wabaguzi sana na pale moshi kama we sio mchaga ukaanzisha biashara yako nzuri lazima wakufitini ufilisike.wahindi wameshindwa ukabila unafanywa na wachaga mkuu.nina uzoefu na mji huo sana
 
Nakutakia mafanikio mema ktk harakati zako za ukombozi. Usisahau kutuletea mnyama mkali mwenye majina lukuki mdudu, kitimoto, n.k ukioenda unaweza kumwita Noah.
 
nitajie mfanyabiashara mkubwa ambaye sio mchagga aliefanikiwa akiwa moshi.wachagga ni watu wabaya sana ndio maana hata nyerere aliwalaani
 
wachaga ni wabaguzi sana na pale moshi kama we sio mchaga ukaanzisha biashara yako nzuri lazima wakufitini ufilisike.wahindi wameshindwa ukabila unafanywa na wachaga mkuu.nina uzoefu na mji huo sana
GAMBA!! hali ya hewa ilichafuliwi hivyo!! umeshindwa!!
 
Moshi miaka yote haina idadi kubwa ya wahindi kama ilivyo kwa mikoa mingine hapa nchini. Nafikiri mtoa mada hujui historia ya moshi vizuri.
Wewe ndiye unayeijua wakati hujui tofauti ya mhindi na mwarabu!! Kwenu lalago!!
 
nitajie mfanyabiashara mkubwa ambaye sio mchagga aliefanikiwa akiwa moshi.wachagga ni watu wabaya sana ndio maana hata nyerere aliwalaani

kuna wakenya kibao wenye makampuni na mambo yao naona yanakwenda fasta
 
Back
Top Bottom