OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Wahindi Wahama Moshi na Mambo ya arumeru ya husiano gani?? Umeandika hii post ukiwa usingizini nini>>>?
1. So hata ukiwa unaenda sokoni ukakuta mtoto anatumbukia kisimani huwezi ita watu mkasaidiana kumuokoa?? Utaendelea tu kwa sababu lengo lilikuwa ni kununua nyanya??
2. Kaweka bayana jambo zuri sana (kama kweli) as ni ishara kwamba mkoa huo uchumi sasa unaelekea kushikwa na kuendeshwa na wazawa. Kwako hili si jambo zuri kufahamishwa???
3. Usingizi wake uko wapi hapa....huyu ni mtu makini as pamoja na objective yake kubwa ya kwenda Arumeru ameweza kuona mabadiliko from a comparative time frame na ameweka hapa kwanza kutufahamisha na kutupa challenge wenyeji wa mikoa mingine............