,ebana nilikuaga naiweka katikati ya ndizi au tonge ndo naimeza kukwepa uchungu.Natafakari, hivi aliyetengeneza Chloroquine alikuwa anawaza nini hasa ile harufu bado naisikia dawa ile ili upone ni lazima ukimaliza dosage utapike ndipo upate nafuu.
Mara ya mwisho kutumia ilikua mwaka 2000 sijui kama muuguzi yule wa Minaki Dispensary bado yupo 4X4X2 ule uchungu basi sio wa dunia hii olivia common dosage.
-,kweli we muhenga, mjomba umenielezea maswaibu yaliokua yakinipata'Kolokwini' ile dawa ina nguvu za ajabu, yaani ikikaribia kugusa ulimi tu ina uwezo wa kukivuta nje chakula chote ulichokula. Dawa chungu kama imetengenezwa na mashetani, halafu bahati mbaya iwe inakuonea, yaani ukinywa ni full kuwashwa kwa muda siku tatu mfululizo bila kupumzika, halafu muwasho wake ni hadi kwenye kinyeo na makende. Ukianza kuwashwa hujitokezi mbele za watu, maana kuna maeneo utashindwa kujikuna. Ukigusa maji hata tone tu kuwasha kunaongezeka mara tatu zaidi.
Naja BABUAchana nayo... njoo kwangu nikutulize maumivu
imetuonea sana kwa kweli,ebana nilikuaga naiweka katikati ya ndizi au tonge ndo naimeza kukwepa uchungu.
Halafu ilikuwa nawshwa muda wa siku nne, ole wako uoge ,utajuta
Ha ha haaaa, dunia hadi kufika hapa ilipo wahenga tumelipa big price. Siku hizi wanakunywa dawa utadhani labda unakunywa chaki.-,kweli we muhenga, mjomba umenielezea maswaibu yaliokua yakinipata
Halafu mi dingi alikuaga anakugadi mpaka uinywe, ashuhudieimetuonea sana kwa kweli
Ngoma mchana inatulia kidogo, ebana jioni ikianza kuingia mawazo tele, huzuniHa ha haaaa, dunia hadi kufika hapa ilipo wahenga tumelipa big price. Siku hizi wanakunywa dawa utadhani labda unakunywa chaki.
Unatetemeka Na mengi sio homa peke yakeNgoma mchana inatulia kidogo, ebana jioni ikianza kuingia mawazo tele, huzuni
Naomba zinapopatikana unijulishe mkuu, nina malaria suguZilishapigwa marufuku
Teh nashangaa hapa watu wamezaliwa enzi za mkapa ila wanavyochangia utasema walikuwepovijana waliozaliwa wakati mzee mwinyi anakaribia kumaliza mda wake wa urais, hawawezi kutuelewa haya tunayojadili hapa kuhusu klorokwini (chloroquine).
uhenga una gharama zake...acheni tu jamani.
Mimi nilipigwa drip sita za quinine. Nilikuwa kiziwi kwa siku kadhaanilikuwa nikizimeza hizo au Kwinini.. maskio yanalia diiiii iiiiiiii siku nzima.
Bora harufu....kuwashwa jamani, nilikuwa nawashwa iwe ni sindano yake iwe ni vidonge.....lol!Natafakari, hivi aliyetengeneza Chloroquine alikuwa anawaza nini hasa ile harufu bado naisikia dawa ile ili upone ni lazima ukimaliza dosage utapike ndipo upate nafuu.
Mara ya mwisho kutumia ilikua mwaka 2000 sijui kama muuguzi yule wa Minaki Dispensary bado yupo 4X4X2 ule uchungu basi sio wa dunia hii olivia common dosage.