kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,481
inawezekana hata haya matatizo ya wanaume wa dar uume kutosimama nyuzi 90 umechangiwa na haya madawa unakuta mwanaume mzima akifungua zipu kukojoa inabidi achutame kama mwanamke kwani bila hivyo mkojo utaloanisha suruali yote.