Mme Mwenza
JF-Expert Member
- Feb 6, 2025
- 2,812
- 4,063
Naam,Mzee alikuwa ana msuli wa kiuchumi inaonekana
Tujifunze Lugha yetu cha darasa la 6.@Mods rekebisheni Tittle, Badala ya tuhuane andika tujuane
Ahaa... Alikuwa ni mzee wenu kumbeNaam,
Kwa sababu hiyo laki laki hivyo milioni na nusu mwaka 1992, huku anasomesha watoto, huku anajenga, huku mambo kibao, si mchezo.
Ila alikataa ulevi, alikataa wanawake wa majiani, alijituma sana kuwekeza kama hivi, na sasa tunafurahia maamuzi yake.
Hasibu ๐Jamaa liongo hili
Haha haya legend!Heshima nitakupa ila sio ya uhenga, hapo tuachie sie wazee tukumbushane ฤฅaya mambo!!๐
Sisi ndio watoto wetu wana miaka 14 tutaacha kuwa wahenga?Na wewe unajipachika kwa wahenga?
Hakika.Tuliimba kwa wivu mkubwa sana.
Ukiiba hela....Nilimwibia marehemu bibi sh 2000 nilikula wiki nzima na haikuisha nikanunua na saa ๐๐๐
Mwaka 1996 hiyo std 2 mpaka nilikamatwa hela nilikuwa naficha kwenye majani ya viazi vitamu shambani nyuma ya nyumba
Haaaaaah ๐Niliwahi kuokota kitita cha shilingi elfu moja na mia tano.. aisee, pale nyumbani tulitrend hadi watu wakaanza kudhani sisi ni watakatishaji wa fedha za umma
GenZ na uhenga wapi na wapiHakika.
Sasa nani ni gen z?GenZ na uhenga wapi na wapi
Kumbe dogo kabisa๐Tuliozaliwa 1996 tujuane hapa.
Ila shiling tano nmeitumia kununua barafu na kipnd hicho soda ya chupa 250 na kuna chupa fupi ya cocacola watoto tuliipenda kwel.
Utoto wangu mim kilo ya mchele walinunua 400
Yaani 2004 unamwita mhenga huyo? Hebu tuache dharau! Watu wanazungumzia enzi ya mwisho ya Julius KN wewe unasema enzi za Kiwete? Tuliotumia thumuni hebu tujuane!2004
Niliteseka sana na ile hela, mpaka nikashitukiwa na Bibi alikuwa ananipenda kunipiga alikuwa hataki , akamwambia mwalimu mkuu aisee nilichezea bakora zaidi ya laki ๐๐๐Ukiiba hela....
Unakula vitu bila idadi.....hela ikibaki unaitupa usikamatwe๐คฃ
Sijamwita Muhenga nimemwambia huyo ni Gen Z , mwaka 2004 nilikuwa form 3 mimiYaani 2004 unamwita mhenga huyo? Hebu tuache dharau! Watu wanazungumzia enzi ya mwisho ya Julius KN wewe unasema deni za Kiwete? Tuliotumia thumuni hebu tujuane!
Nimekumbuka nilitembezewaga kichapo na mama aliunga fimbo kama 3 za matunda passion, mbona nilitaja ela zilipo๐๐ฝโโ๏ธNiliteseka sana na ile hela, mpaka nikashitukiwa na Bibi alikuwa ananipenda kunipiga alikuwa hataki , akamwambia mwalimu mkuu aisee nilichezea bakora zaidi ya laki ๐๐๐
Asubuhi nilipo amka makalio na mapaja yalikuwa yamevimba , Bibi akaanza tena kunikanda na maji ya vuguvugu.
What a love ๐
Na wewe siyo mhenga. Wahenga ni Sisi tuliotumia thumuni! Unaijua thumuni wewe? Au ile senti 5 ya samaki sijui alikuwa samaki gani yule mwenye mdomo umechongoka kama sindano!Sijamwita Muhenga nimemwambia huyo ni Gen Z , mwaka 2004 nilikuwa form 3 mimi
Wewe, niambie kitu gani cha 80s unakikumbuka kama kweli mhengaSasa nani ni gen z?