Wahaya wana Akili sana kiukweli

Wahaya wana Akili sana kiukweli

Hao hata kabla ya elimu ilishakuwa jamii iliyopevuka kiakili kuliko jamii nyingi za kiafrika, tangu miaka 2000 iliyopita hao wanafahamika kwa kufua vyuma
Toa hadithi zako za sungura na fisi ,pwani pekee ndio tulikuwa na mifumo yetu na kujielewa kabla ya wakoloni.
 
Walivumbua kugawa uroda Tz nzima kama mke wako anakunyima uroda ulikuwa unaupata kwa wahaya
 
Kweli wapo smart kichwani tuwape maua yao. Wenyeji wa Kanda ya ziwa Victoria asilimia zaidi ya 80 IQ zao ni kubwa sana.
 
Toa hadithi zako za sungura na fisi ,pwani pekee ndio tulikuwa na mifumo yetu na kujielewa kabla ya wakoloni.
Wenyeji wa pwani au waarab? Mbona hatuoni huko kujielewa kwa jamii za pwani kwasasa? Historia ya wahaya kwenye chuma ipo wazi, upeo wa wahaya upo wazi pia.

Hiyo Pwani labda kuwa watumwa arabuni na mabeki tatu wa waarab ila kujielewa haijawahi tokea.
 
Wenyeji wa pwani au waarab? Mbona hatuoni huko kujielewa kwa jamii za pwani kwasasa? Historia ya wahaya kwenye chuma ipo wazi, upeo wa wahaya upo wazi pia.

Hiyo Pwani labda kuwa watumwa arabuni na mabeki tatu wa waarab ila kujielewa haijawahi tokea.
Nyie mbona hatuoni kama mnajielewa? Sisi hatuwajui wala hatujwahi kuwakubali..Tumepigana uhuru wakati huo mnajiuza na kula wadudu wale senene..Hakuna kitu cha wahaya kinatumika hata hao senene huku ni uchafu ..

Naona unalia nyie hamna kitu 🤣🤣mkiongea tunaziba pua...Hapo tu ,hata kiswahili hamjui.
 
Ungejua wqlivyo wabinafsi .ubishi na ujuaji mwingi wanajitenga na watu wengine .hela kidogo starehe nyingi
 
Nenda huko Kyerwa ndio utajua wana akili au niaje, au hata Bukoba mjini. Kama akili haina impact kwenye maisha ya kawaida ni bure kabisa.
Mji wao umedumaa mno
 
Kabila halihusiani na IQ. Lakini hali ya hewa ya Kagera, Mbeya na Kilimanjaro ziliwavutia sana wakoloni kuwekeza huko, na hivyo wakajenga shule nyingi, ndiyo maana watu wengi wa kanda hizo wamesoma sana.
Fact sisi mkoa wetu isingekuwa mkazo wa Lowassa na shule za kata vijana wengi wangeishia kwenye ulevi wa mataputapu,
Kwa sababu kwa wachache waliobahatika kupiga kitabu enzi hizo aisee sio poa sema hawana makuu wanafanya yao kimyakimya,
IQ haihusiani na kabila
 
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.

Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.

Hongereni Sana

Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.

NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.

DNA factor, zina mchango wake.
Wahaya wana akili sana Ila ni wabinafsi, hivyo Hawana faida yoyote kwenye jamii zetu za kitozonia.
 
Kabila halihusiani na IQ. Lakini hali ya hewa ya Kagera, Mbeya na Kilimanjaro ziliwavutia sana wakoloni kuwekeza huko, na hivyo wakajenga shule nyingi, ndiyo maana watu wengi wa kanda hizo wamesoma sana.
Unauhakika
 
Sijajua kilichokukuta ila ni mojawapo ya hivi. Umetomba mhaya amekupa katerero,umepata shemeji wa kihaya amekuachia gari yake uzunguke nayo na amekupa na pocket money kubwa ambayo haujawahi shika?

Kipi kati ya hivyo kimekukuta?
 
Mkoloni hakuwa mjinga kujenga Shule Bukoba , .

Hawa jamaa wana IQ kubwa Sana .

Mfano huyu founder wa JF amenifanya niamini kuwa this tribe imebarikiwa Sana .

Leo hii bila JF ningekuwa situmii mitandao .
Shule nyingi sana zilijengwa mkoa wa kilimanjaro kuliko mkoa wowote kipindi cha ukoloni
 
Back
Top Bottom