George Charles007
JF-Expert Member
- Mar 10, 2024
- 217
- 338
Kuhusu kuwa na akili hiyo ni subjective ila wana mbwe mbwe sana hicho ni kifurushi maalum wamepewa.
AhaaIla wahaya mnajisifia sana. Bila shaka na wewe ni miongoni mwao
Hao hata kabla ya elimu ilishakuwa jamii iliyopevuka kiakili kuliko jamii nyingi za kiafrika, tangu miaka 2000 iliyopita hao wanafahamika kwa kufua vyumaWamegundua nn tangu waanze kusoma?
😂 Asingejitokeza mchaga hii sredi ningeshangaa! Kuna mstari mwembamba sana kati ya mchaga na nshomilenenda kilimanjaro unakuta vile vizee vingi level yao ni form 4 ya mkoloni…na hapo unakuta boss alichezea kichapo na kazi akaacha…shule zikarudi kwa watoto..kilimanjaro ni balaa lingine..hata mission zimejaa kibao
Nenda huko Kyerwa ndio utajua wana akili au niaje, au hata Bukoba mjini. Kama akili haina impact kwenye maisha ya kawaida ni bure kabisa.
Enzi za uchawa zimeishaaMkoloni hakuwa mjinga kujenga Shule Bukoba , .
Hawa jamaa wana IQ kubwa Sana .
Mfano huyu founder wa JF amenifanya niamini kuwa this tribe imebarikiwa Sana .
Leo hii bila JF ningekuwa situmii mitandao .
Wachaga ni jamii ambayo inatakiwa Kila kabila liiige mfano wakenenda kilimanjaro unakuta vile vizee vingi level yao ni form 4 ya mkoloni…na hapo unakuta boss alichezea kichapo na kazi akaacha…shule zikarudi kwa watoto..kilimanjaro ni balaa lingine..hata mission zimejaa kibao
Kwahiyo form four unaiona ni Elimu kubwa ?nenda kilimanjaro unakuta vile vizee vingi level yao ni form 4 ya mkoloni…na hapo unakuta boss alichezea kichapo na kazi akaacha…shule zikarudi kwa watoto..kilimanjaro ni balaa lingine..hata mission zimejaa kibao