AHAS
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 803
- 1,385
Waambie hawa hawajui TZ ilianzia uzanakini..![emoji23][emoji23][emoji23]Na sisi wazanaki tumwagie hizo sifa. Tunastahili
Waambie hawa hawajui TZ ilianzia uzanakini..![emoji23][emoji23][emoji23]Na sisi wazanaki tumwagie hizo sifa. Tunastahili
Unajua wahay wanatoka wilaya zipi hapo mkoani kagera?.Acha sifa za kijinga kwamba hii nchi wanaleta maendeleo Wahaya tu. Kisa kukupamba kidogo tu ndo umevimba kichwa
Kwanza nyie Wahaya sifa yenu kubwa ni kugawa uroda yaani katerero
Wazanaki hakuna walichofanya hapa Tanzania zaidi ya kuandaa katiba Mbovu hii nchi ingekuwa mbali Sana Kama sio mifumo mibovu alioacha yule MzanakiWaambie hawa hawajui TZ ilianzia uzanakini..![emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ishu ya katerero hamsingiziwi nimewahi kula Mhaya mpaka nilifukia shuka dada zenu wanamaji sana nini siri mkuu ..!Unajua wahay wanatoka wilaya zipi hapo mkoani kagera?.
We unawaza mambo ya kitoto Sana Mkuu sasa ngono inasaidia nini zama hizi tulizopo.Ila ishu ya katerero hamsingiziwi nimewahi kula Mhaya mpaka nilifukia shuka dada zenu wanamaji sana nini siri mkuu ..!
Wewe si umesema nyie ndo mnaakili Tanzania nzima mimi nikaongezea pia nyie dada zenu wanamaji au ni vibaya kuwasifia [emoji1][emoji1]We unawaza mambo ya kitoto Sana Mkuu sasa ngono inasaidia nini zama hizi tulizopo.
Je hayo maji yanahusiana vipi na mada iliyopo mezani?Wewe si umesema nyie ndo mnaakili Tanzania nzima mimi nikaongezea pia nyie dada zenu wanamaji au ni vibaya kuwasifia [emoji1][emoji1]
Wahaya ni kabila useless Tanzania.Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Karungi baby girl= kasichana kazuriHata mimi ni smart najiamini saaaana
Hatutumii huku hata wahaya hawajulikaniSi kweli mkuu ndizi na kahawa kwa wingi zinatoka kwao 😂 tena nyie mtu za Pwani na gahawa ni mtu na mjomba'ke
Ukiniambia waajemi,wamarekani,wamisri,wajapani wanaa akili nakuelewa,.........sababu wameweza kubadili changamoto za maeneo yao kua fursa.Wahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Kwa sababu una ujinga ujinga ujue nyie Wahaya pamoja na kusoma hambadiliki na ndo maana mikoa mitatu maskini na huko kwenu pia ni miongoniJe hayo maji yanahusiana vipi na mada iliyopo mezani?
😁😁😁 wahaya hutumia superlative language katika ConversationKwa sababu una ujinga ujinga ujue nyie Wahaya pamoja na kusoma hambadiliki na ndo maana mikoa mitatu maskini na huko kwenu pia ni miongoni
Superlative language ndo hii pumba kweli wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] wahaya hutumia superlative language katika Conversation
IQ haina kabila ndugu yangu, nimesoma na wahaya wengi, na hawajawahi kunipita darasani. mikoa ya kagera na kwengine waliko, wanafanya mtihani mmoja na mikoa mingine,na wanazidiwa sana marks. kuna wahaya wengi form four wamepata zero na wengine wamepata four. wengi wameshindwa kuendelea sio kwa sababu hawana ada ila kwa sababu akili hazitoshi. sasa sijui hao tuwaite wahaya au tuwape kabila lingine;Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Hapo ukisikia muhaya anajisifu sio kweli Kama umefika UK utakuwa unaelewa MkuuSuperlative language ndo hii pumba kweli wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo kufaulu darasani ndo kipimo cha IQ ? Yaani unaweza kupima IQ ya MTU kupitia Elimu ya Tanzania ya kukariri what is colonialism ?IQ haina kabila ndugu yangu, nimesoma na wahaya wengi, na hawajawahi kunipita darasani. mikoa ya kagera na kwengine waliko, wanafanya mtihani mmoja na mikoa mingine,na wanazidiwa sana marks. kuna wahaya wengi form four wamepata zero na wengine wamepata four. wengi wameshindwa kuendelea sio kwa sababu hawana ada ila kwa sababu akili hazitoshi. sasa sijui hao tuwaite wahaya au tuwape kabila lingine;