idadi ya wa iran iliyopo kitakwimu 5000 na ikadiliwa kuongeza south afrika. nacho jiuliza wameipendea nini south africa.
una mkumbuka huyu mama anayetishiwa na waisraeli .kumbuka miliki nyingi za south afrika asilimia kubwa ni waisraeli.
Waafrika pia waende iran, wanakuja tu kwetu, why sisi tusiende kwao? Kuna mengine yataletwa rwanda kama mahamiaji toka nchi zenye vurugu za kiislam. Wakija kwetu waachane na itikadi kali za kiislam hatuzitaki