Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,996
- 32,433
Wanakumbi.
Kutana na Jopo la Wanasheria Nguli kutoka Afrika Kusini ambao wameweka historia pale kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) kwa kuishtaki Israeli juu ya udhalimu wanaoufanya pale Gaza.
• John Dugard
• Max Du Plessis
• Adila Hassim
• Tembeka Ngcukaitobi
• Tshidiso Ramogale
• Sarah Pudifin-Jones
• Lerato Zikalala
• Vaughan Lowe
• Blinne Ní Ghrálaigh
South Africa wameiheshimisha Africa, na ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki, So far kuna mataifa ya Ulaya tayari yamekataa kuunga mkono USA ama kuna vuguvugu la kuunga mkono South, Nchi zaidi ya 54 zimeshaiunga mkono South Africa.
Kutana na Jopo la Wanasheria Nguli kutoka Afrika Kusini ambao wameweka historia pale kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ) kwa kuishtaki Israeli juu ya udhalimu wanaoufanya pale Gaza.
• John Dugard
• Max Du Plessis
• Adila Hassim
• Tembeka Ngcukaitobi
• Tshidiso Ramogale
• Sarah Pudifin-Jones
• Lerato Zikalala
• Vaughan Lowe
• Blinne Ní Ghrálaigh
South Africa wameiheshimisha Africa, na ni aibu kwa mataifa yanayojinasibisha kutetea haki, So far kuna mataifa ya Ulaya tayari yamekataa kuunga mkono USA ama kuna vuguvugu la kuunga mkono South, Nchi zaidi ya 54 zimeshaiunga mkono South Africa.