nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Wanaogopa
1. Kupigwa risasi
2. Kutekwa
3. Kufungwa kwenye viroba then viokotwe vikafukiwe kusiko julikana
4. Kubambikiwa kesi na kufungwa jela bila thamana baadae unaacha familia inahangaika
5. Msimamizi wa uchaguzi ni mwajiliwa wa chama twawala hawezi kumtangaza tofauti na ccm
6. Wanaogopa kupopolewa mawe kama wengi waliopoteza maisha kisa siasa
7. Wanaogopa Jeshi lenu la polisi kuja kukamata watu kwa kisingizio cha uvunjifu wa amani
Hayo yote yakiondolewa basi vyama vya siasa vitajumuika
Ndio sababu hata waliojiandikisha ni wale wa Kijani maana hakuna uchaguzi bali ni UCHAFUZI TU
CHAGUANENI WENYEWE MAANA TUMECHOKA KUONA MAUWAJI, WATU WANATAKA KUENDELEA KULEA FAMILIA ZAO.
1. Kupigwa risasi
2. Kutekwa
3. Kufungwa kwenye viroba then viokotwe vikafukiwe kusiko julikana
4. Kubambikiwa kesi na kufungwa jela bila thamana baadae unaacha familia inahangaika
5. Msimamizi wa uchaguzi ni mwajiliwa wa chama twawala hawezi kumtangaza tofauti na ccm
6. Wanaogopa kupopolewa mawe kama wengi waliopoteza maisha kisa siasa
7. Wanaogopa Jeshi lenu la polisi kuja kukamata watu kwa kisingizio cha uvunjifu wa amani
Hayo yote yakiondolewa basi vyama vya siasa vitajumuika
Ndio sababu hata waliojiandikisha ni wale wa Kijani maana hakuna uchaguzi bali ni UCHAFUZI TU
CHAGUANENI WENYEWE MAANA TUMECHOKA KUONA MAUWAJI, WATU WANATAKA KUENDELEA KULEA FAMILIA ZAO.