Umeonesha concern yako kama vile hujui kilichokuwa kikiendelea. Act wazalendo na Chadema vinahitaji only 24 hrs kubadilisha yoote wengine waliyo yafanya kwa four years.Chadema na ACt wazalendo wagombea serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni Kama CCM walivyofanya jana jumapilin nchi nzima?
Wanasubiri watakaokatwa CCM.
Chadema na ACt wazalendo wagombea serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni Kama CCM walivyofanya jana jumapilin nchi nzima?
Sijui mnakulaga kunde za wapi? Kwa mawazo hayo ya kusubiri boda boda tano bila strategy ya kueleweka na sio ile ya kusubiri waliokatwa CCM, jiandae kusubiri sana bandugu.Umeonesha concern yako kama vile hujui kilichokuwa kikiendelea. Act wazalendo na Chadema vinahitaji only 24 hrs kubadilisha yoote wengine waliyo yafanya kwa four years.
Bodaboda tano tu zikifungwa bendera za chadema na zile motokari saafi nyeupe zilizoandikwa M 4 C mbili tu zinatosha kugeuza meza.
Muda utasema ukweli
wanatajwa na kigogoChadema na ACt wazalendo wagombea serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni Kama CCM walivyofanya jana jumapilin nchi nzima?
Wao wanachaguana kwenye twitter na instargram ndio utaratibu wao!
Hayakuhusu, mambo yetu hatufanyii kwenye vyombo vya habari. Punguza umbea dada mwishowe utakuwa kama Kigogo 2014Chadema na ACt wazalendo wagombea serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni Kama CCM walivyofanya jana jumapilin nchi nzima?
We kiazi kweli kwaiyo wabunge walio bungeni uliwapitisha wewe?Huko wanachaguana kwa makabila kama chadema kama sio mpare au mchaga hupati nafasi
Act wazushi wao wanaangalia kama unatokea kigoma au zenji unapewa kipaumbele
Tanzania upinzani hakuna wanasubiria uzushi na umbea wanaugeuza Ajenda
Nani atawapa dhamana ya kuwaongoza
ndiyo hapo utashangaa wanalia wameibiwa kulaCHADEMA na ACt Wazalendo wagombea Serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni kama CCM walivyofanya jana jumapili nchi nzima?
Inakuhusu nini wewe Mbweha ?CHADEMA na ACt Wazalendo wagombea Serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni kama CCM walivyofanya jana jumapili nchi nzima?