Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,276
- 17,983
Kura za maoni ni utaratibu wa fisiemu. Wengine wana taratibu zao. Unakumbuka takrima?CHADEMA na ACt Wazalendo wagombea Serikali za mitaa wanapatikanaje? Mbona hatuoni mkipiga kura za maoni kama CCM walivyofanya jana jumapili nchi nzima?