Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,693
- 26,213
Wakenya wanapewa dawa yao huko Malaba. Kumbe ni wasambazaji wazuri wa virusi vya corona kwa jirani.
Wahenga walinena ujanja mwingi mbele kiza.Ila ujinga wamwafrika jamani china mbona hawakufungiwa mipaka na hatukuwahi sikia meli zao zimepigwa pin kuingia nchi zingine
Pumbavu sana wanauwa uchumi wao wenyewe
Wakenya wanapewa dawa yao huko Malaba. Kumbe ni wasambazaji wazuri wa virusi vya corona kwa jirani.
Wamekutana na waganda ambao nao wanajifanya wanaongea kizungu tu sasa kazi kwao.Acha wakomeshwe ili waache kuishi maisha ya kinafki
Wakenya wanapewa dawa yao huko Malaba. Kumbe ni wasambazaji wazuri wa virusi vya corona kwa jirani.
Kuzibuliwa chemba ndiyo Nini tena??!!Za chini ya carpet ni kwamba dereva wakenya amezibuliwa chemba.
Kuzibuliwa chemba ndiyo Nini tena??!!
Duh....ok.,thanksKalawitiwa bila ridhaa yake
Hivi Maccm msipoitaja Kenya Ina maana hamtalipwa.
Ambia ndugu zako wanaLumumba
Hapana, hatuwezi kutulia wakati kuna baadhi ya Jirani anazibuliwa chemba na Jirani mwenzetu, hii ni kinyume kabisa na mkataba wa EAC, hasa kwasababu wanaozibuana ni wanachama waanzilishi wa EAC, wangezibuliwa wanyarwanda au warundi, kidogo isingekua tatizo.Sasa wewe MwanaLumumba unalilialia nini.First mind ua own sad poor life