hawakuwa na makosa, wametoroka ili kushinikiza majambazi ya hela za umma yafungwe.
mkuu Elli ndo napata habar hapa, ngoja nifuatilie then ntaleta habari kamili, hata hivyo gereza mahali lilipo sio kabisa.
hawakuwa na makosa, wametoroka ili kushinikiza majambazi ya hela za umma yafungwe.
mkuu Elli ndo napata habar hapa, ngoja nifuatilie then ntaleta habari kamili, hata hivyo gereza mahali lilipo sio kabisa.
hii imenikumbusha kuna jamaa hapa Moshi maarufu km JJ alimwagia mtu petrol na kumpiga kiberiti live mchana kweupe akawekwa jela mwisho wa siku tukatangazima katoroka gerezani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.