ha ha ha ha ha kama unahela amna haja ya kufumania nakuja tu
hahahaha! hapa hela zimejaa tele...tatizo sio hela, tatizo ni namna ya kuzitafuna hizo hela...kama unajua kufakamia sawasawa, karibu sana. mimi ni miongoni mwa waliopata mgawo wa ESCROW.
Hakuna mamlaka yoyote inayompa kiongozi wa serikali ya mtaa kutengua hizo ndoa na kuidhinisha hizo ndoa mpya!
Kilicho fanyika hapo ni u-layman wa kihuni kabisa na haikubaliki! Katika issue ya ndoa kisheria ina implications nyingi! Hivyo watu msitoe comments as if ile ni makubaliano ya ki biashara!
Kwenye hu uzi hakuna sehemu inayoonesha before hawa jamaa walikua na ndoa zenye vyeti!