Akili timamu na bila shuruti, interesting!!! Lakini hii haibatilishi vyetu vyao vya ndoa vya awali, wanahitaji bado kwenda mahakamani kubatilisha ndoa, na ikiwezekana waoe upya na kupata vyeti vingine. Hivi, ukiagiza chakula hotelini na kukionja kiasi/kumeja, unaruhusiwa kurudisha na kupewa kingine??
Dah sijui na mimi nifumaniwe na mke wa nani hapa na mimi niepue chombo, kuna mtu hua namtamani sana sana hapa jukwaani, basi tu
Dah sijui na mimi nifumaniwe na mke wa nani hapa na mimi niepue chombo, kuna mtu hua namtamani sana sana hapa jukwaani, basi tu
Dah sijui na mimi nifumaniwe na mke wa nani hapa na mimi niepue chombo, kuna mtu hua namtamani sana sana hapa jukwaani, basi tu
hata mimi nawapongeza sana kwa uamuzi sahihi waliouchukua. Vema sana.
ha ha ha ha ha kama unahela amna haja ya kufumania nakuja tu
hivi ni Mji gani huo?Dah sijui na mimi nifumaniwe na mke wa nani hapa na mimi niepue chombo, kuna mtu hua namtamani sana sana hapa jukwaani, basi tu
Inakuwaje wote wawili waende gesti moja wakati mmoja. ??????