Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
Habari haijajitosheleza bado, msimpinge mleta mada tu, kuna ndoa hazina vyeti, ukikaa na mwanamke ndani miezi sita kisheria anakua mkeo, atleast tungekua tunajua mahusiano yao yalikua ya namna ipi,
Anyway...nimependa ubunifu wao, wananikumbusha hadithi moja ilikua kwenye gazeti la Kiu/ Sani miaka ya nyuma...
Ni ndoa halali hizo zilikuwa
Mi ninesikiliza kwenye redio wapo leo nimecheka sn