OK, ebu ni PM kwanza.....!Bila wambea ungepata wapi habari, kila siku unakimbilia TV kuangalia hbr bila wambea ungepata wapi fursa hiyo?
Toba Ila iwe ya kweli.Umenigusa sana TOBA hufuta madhambi yote.
Kwani amekosea nini..hastajili lawama yyte ktk hiloMasikini watu wa watu, hivi huyu aliyewachongea anajisikiaje? Haoni kama amesababisha shida, adha , umasikini, ugomvi, husda, uhasama, matengano,upweke,majuto na mengne yafananayo na hayo
Bi moniccca punguza ukali wa maneno plziiiiiBila mama yako kulala bila chupi ungetokea wewe?
Kosa lake ni nini kwani?Aibu zikuandame wewe wenda ulishiriki hiyo kitu coz najiuliza ilikuwaje unampeleka mtu ofisin bila kwanza kwenda kuongea na boss? Sasa umefaidi nn? Na unavyojishebedua hapo na kuleta ujinga hapo as if ni habari nzuri ukute na wewe ni mchepuko wa mme wa huyo mdada basi zoezi lako limekamilika hili ujisevie wewe ni mnafiki haiwezekan wewe umpeleke mtu/mgeni kwa boss bila wewe kwanza kwenda kwa boss kumwambia. Afu usivyo na akili unasema eti huyo ni shoga yako? Haya na mshahara wake wakupe wewe!
Moniccca utabeba lawama mpaka ukomeAibu zikuandame wewe wenda ulishiriki hiyo kitu coz najiuliza ilikuwaje unampeleka mtu ofisin bila kwanza kwenda kuongea na boss? Sasa umefaidi nn? Na unavyojishebedua hapo na kuleta ujinga hapo as if ni habari nzuri ukute na wewe ni mchepuko wa mme wa huyo mdada basi zoezi lako limekamilika hili ujisevie wewe ni mnafiki haiwezekan wewe umpeleke mtu/mgeni kwa boss bila wewe kwanza kwenda kwa boss kumwambia. Afu usivyo na akili unasema eti huyo ni shoga yako? Haya na mshahara wake wakupe wewe!
Vipi harusi yako ilifanyika mrembo ?Wewe unaedhani ni hadithi baki hivyo na utomaso wako.
alafu ukute dada amejaaliwaNdiyo kilichopo waponza
ila moni hili tukio umeliwasilisha vizuri saana, kwa kifupi ni mwandishi mzuri wa habariUmenigusa sana TOBA hufuta madhambi yote.
Ajali kazini kakaNachojua ni kimoja tu mapenzi(mahusiano)huwa hayafichiki kwa namna yoyote tu na usivyotarajia itajulikana sasa ni we kujiuliza kama unaweza kubeba ghrama za tukio Litakapojulikana kama huwezi acha kabisa!!!!!