Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Maamuzi ya Mahakama , kwa kifupi yanakubali hawa walifukuzwa na CHADEMA , kwamba sasa si wabunge ila wasikilizwe rufaa ya kupingwa kufukuzwa.
Maskini wa Tanganyika aliyebebeshwa mzigo wa Tozo za Simu zinazopanda, aliyebebeshwa Mzigo wa nauli kupanda wakati mafuta yanaendelea kushuka kwa niaba ya kufidia matajiri wa mabasi, anayebebeshwa 150,000 kujifungua na akikosa anafia chumba cha hospitali, watoto kukaa chini, Je, Mungu atawaacha hawa watu au laana itaenda kama vitabu vya ki-imani vinavyosema kuwa usimuonee mnyonge na asiye na nguvu?
- HALIMA JAMES MDEE
- GRACE VICTOR TENDEGA..
- ESTHER NICHOLAS MATIKO.
- ESTER AMOS BULAYA
- AGNESTA LAMBERT KAIZA
- ANATROPIA THEONEST.
- ASYA MWADINI MOHAMED.
- CECILIA DANIEL PARESSO.
- CONCHESTA LEONCE RWAMLAZA
- FELISTER DEOGRATIUS NJAU.
- HAWA. S. MWAIFUNGA
- JESCA DAVID KISHOA.
- KUNTI YUSUPH MAJALA
- NAGHENJWA LIVINGSTONE KABOYOKA.
- NUSRAT SHAABAN HANJE..
- SALOME MAKAMBA.
- SOPHIA HEBRON MWAKAGENDA.
- STELLA SIMON FIYAO.
- TUNZAISSA MALAPO