Wafuatao waliwahi kukutana uso kwa uso na busara na hasira za Mwalimu Nyerere!..

Umazwazwa. Nilidhani ungekuwa na busara ukasahihisha unaendelea kuonesha ujinga ulio nao. Kukosea kupo na ungeweza kusahihisha.
 
Mkuu umesahau, Mwl Nyerere hakuwa na ACCT ulaya wala majumba ya kifahari!!
Alitaifisha mali zote akazifanya za Umma badala ya kujibinafisha! Nyerere hakuwa mwizi wala fisadi yeye na familia yake!!
 
Walioficha fedha Uswiss wasingesogea kabisa karibu yake, majizi wakubwa eti wanagombea urais, laana kum!!
 
Tunakumisi sana baba wa taifa. Yaan yanayotokea sasa ungekuwepo! Sijui ingekuwaje. Ufisadi kila kona, walimu hawajaajiriwa eti hakuna pesa za kuwalipa. Wameficha pesa zote uswisi kwa maslahi yao, leo ni matatizo kila wizara. Uliokuwa unawakataa ndo wanaotutesa. Tanzania ya leo haitamaniki.
 
hahahah, mwalimu bana, he was a charismatic leader with and extraordinary authority!
 
Ha! Ha! Ha! Ha! Kwa hiyo baada ya LOWASA KUULIZWA ALIKOPATA hela ya kukodi ndege ndiyo ukawa MWISHO WAKE ?

Tehe tehe. Je, sasa hivi hakuna wa kumuuliza hizo pesa anazogawa makanisani na misikitini kazipata wapi.
 
Huyo ndo Yeriko Nyerere, kijana wa PUMBA. anasahau kuwa MBOWE na WARYOBA na serikali tatu zao, NYERERE angekuwepo nao wangetokomezwa kabisa.

Mbona wake wachache waliotoa maoni kwamba tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi Nyerere aliwakubari nakuwaona wana akirisana kuliko nyie mliobaki Ccm?jaribu kuwa unashughulisha ubongo kufikiri mkuu!
 
vipi madai yao haya ya serikali tatu, wasingekula viboko kweli?, 6 siku ya kuingia bungeni, 6 siku ya kutoka wakawaoneshe wake zao?
Alafy mwalimu JK Nyerer angdenda LUMUMBA akamwita JK na kumuuliza..kwa nini wezi wa mabilioni ya EPA uliwaamuru warudishe na si kuwakamata na kuwafunga? Kwa nini uwaonee wale wachache tj kuwadungulia mashtaka? Pia angeulizia kwa nini sasa TEMBO wanahamishiwa China ilhali wasema unawajua majangimi kwa majina na idadi yao. Hatasahau juu ya madawa ya kulevya atauliza kwa nini wawafuga IKULU wauza madawa ya kulevya ilihali majina unayo hapi miaka mitano zaidi sasa? Najua ayakosa majibu sababu maswali ni mengi mnooo..hivyo atapata shinikizo la moyo na kufa tena..tutasubiria afufuke upya..
 
na mimi nakusahihisha tu, kolimba aliitwa kuhojiwa na kamati kuu ya ccm chini ya bwnjamini wiliam mkapa, ilikuwa 1995-2000

naweza kukubaliana na wewe ila kitu nilichokua na uhakika nacho ni kwamba kolimba hakuhojiwa wakati wa utawala wa nyerere.asante.
 
Back
Top Bottom