mbowe na slaa wangeulizwa walipo zipata chopa 3 na wapiwalipo wanandoa wa ujana wao. wangelazwa chini pale ufipa wangepigwa saana hadi kuvimba makalio chezea bakora za teacher jurius
Hata wewe ungeulizwa umetoa wapi hii maneno yako.
mbowe na slaa wangeulizwa walipo zipata chopa 3 na wapiwalipo wanandoa wa ujana wao. wangelazwa chini pale ufipa wangepigwa saana hadi kuvimba makalio chezea bakora za teacher jurius
Mtakatifu Julius Nyerere hata sahaulika kwa hayo
Walijua atawadhibiti uharamia wao ndio maana wakamuwahisha'
madai mazito hayo mkuu
Kwa nia njema tu, nakusahihisha kidogo tu mkuu,kolimba alihojiwa katika utawala wa mwinyi sio nyerere.ila mengine yote big up.
tunawashukuru sana jf kwa kuvumilia post za kijinga kama hii .Yeriko Nyerere siyo wewe pekee unayemkumbuka Nyerere, angekuwepo hakika haya makabila makubwa kama WACHAGGA wasingetusumbua na siasa zao za Ukanda na serikali tatu.
Na mimi nakusahihisha tu, Kolimba aliitwa kuhojiwa na kamati kuu ya CCM chini ya Bwnjamini Wiliam Mkapa, Ilikuwa 1995-2000
hebu endelea kidogo , naona kama kuna kitu ambacho hujakimaliza hivi .
Wakamuuliza ZITTO,tukupe nini ili uache usumbufu na harakati zako,wakampa cheki ajiandikie kiasi cha fedha, NA HAPO NDIPO USALITI KWA CDM NA WAZALENDO ULIPOANZA. hAKUNA KAMA MANDELA NA NYERERE HAWA JAMAA WALIKUWA MANABII
alihojiwa katika utawala wa mkapa.Kwa nia njema tu, nakusahihisha kidogo tu mkuu,kolimba alihojiwa katika utawala wa mwinyi sio nyerere.ila mengine yote big up.
Embu kuwa na Adabu na uandike vizuri jina la Baba wa Taifa!mbowe na slaa wangeulizwa walipo zipata chopa 3 na wapiwalipo wanandoa wa ujana wao. wangelazwa chini pale ufipa wangepigwa saana hadi kuvimba makalio chezea bakora za teacher jurius
Huyo ABDUL Jumbe ndo nani?