Wafuasi wa Uamsho waiamsha Zanzibar.........endelea kuona picha hizo

402803_287918404641589_51983700_n.jpg
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema mwanzoni kabisa ,kama angekuwa na uwezo basi hako kakisiwa angekasukuma mbali kabisa baharini kwani katakuja kutuletea matatizo makubwa sana siku za usoni.Na ndio haya tunayoyaona sasa na kwa kuongezea tu ninavyoona hawa jamaa hata wakishaipata Jamhuri yao wanayoililia si zaidi ya miaka mitana tutawaona na majahazi yao Bara wakija kuomba hifadhi ya ukimbizi.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema mwanzoni kabisa ,kama angekuwa na uwezo basi hako kakisiwa angekasukuma mbali kabisa baharini kwani katakuja kutuletea matatizo makubwa sana siku za usoni.Na ndio haya tunayoyaona sasa na kwa kuongezea tu ninavyoona hawa jamaa hata wakishaipata Jamhuri yao wanayoililia si zaidi ya miaka mitana tutawaona na majahazi yao Bara wakija kuomba hifadhi ya ukimbizi.
Mkuu St. Paka Mweusi Tuwaache WaZanzibar Wapumue kidogo wawe na Jamhuri yao wafaidi Matunda ya Uhuru wao hata kama patanuka ni kivyao sisi kazi yetu kuwaangalia Macho unasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu St. Paka Mweusi Tuwaache WaZanzibar Wapumue kidogo wawe na Jamhuri yao wafaidi Matunda ya Uhuru wao hata kama patanuka ni kivyao sisi kazi yetu kuwaangalia Macho unasemaje?


Ustaadh hulali ustaadh,sikatai mawazo ya kuwaachia jamhuri yao kwani sioni mchango wao katika ustawi wa Tanzania Bara,ila kinachonipa wasiwasi ni ile kuwaona wasivyo na maana,mambo mengi huwa wanafuata mkumbo hawana uwezo wa kupambanua mambo.Na hapo ndio shida inapoanzia,na itakuwa kazi rahisi sana kwa wenye maslahi yao binafsi kuwajaza ujinga kidogo tu,tuwaone tena Bara wakiomba hifadhi ya ukimbizi,na hilo sina shaka nalo..
 
553857_10151057029241176_1515498500_n.jpg

Wawakilishi kutoka Chama Cha Mapinduzi tokea jana wamekuwa wakigoma kuingia barazani kufuatia kuchomewa maskani ya chama chao ya Kisonge, jana waligoma kuingia barazani asubuhi na leo wamegoma na sasa kuna mswada unataka kupitishwa koram haijatimia na hivyo kikao kimeakhirishwa kwa dakika 5 na sasa ndio wamerudi Spika anatoa nasaha zake
 
22307_10151056246586176_1756396557_n.jpg

Katika maeneo mbali mbali hali imezidi kuwa mbaya nyakati za jioni baada ya vikundi vyenye kufanya hujuma kushiriki katika vurugu zinazoendelea ambapo vikundi hivyo ni ubaya ubaya, mbwa mtu, na kimya kimya wamekuwa wakisimamisha magari ya watu na kuwapora fedha, simu na kuwatishia kuwawasha moto huku wakiweka vizuwizi vya njia kama magogo, matawi ya miti pamoja na kuchoma moto mapira jambo ambalo limekuwa likiwa wananchi wengi usumbufu lakini kama hayo hayatoshi wamekuwa wakiwakamata watu na kuwapiga vibaya sana
 
Back
Top Bottom