Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
- Thread starter
- #201
Mkurugenzi wa Upelelezi Zanzibar, Yussuf Ilembo na Amir wa Uamsho Sheikh Msellem Bin Ally wakiwa katika kikao cha pamoja wakitoa taarifa kwa vyomvo vya habari kuzungumzia hali ya utata wa kupotea kwa Sheikh Farid Hadi Ahmed alivyotoweka na vurugu zilizochukua siku ya pili mfululizo na athari zake.