Mr Obama condemned the violence that erupted over a "disgusting" anti-Islam video as "an attack on UN ideals".
Rais Obama alaani maandamano na fujo zinazoendelea kuhusu picha inayomkashifu Mtume Muhammad na uislam, anasema fujo hizo ni sawa na kwenda kinyume na "mawazo ama maadili ya UM [UN]"
Makamo wa 1 wa Rais wa Zanzibar Mhe S S Hamad akimsikiliza Mwenyekiti wa ZAWA UK Hassan Khamis katika Mkutano uliofanyika London University, kuliani kwake ni Makamo wa Mwenyekiti wa ZAWA UK Bi Shuweikha A Khamis. 14 Sept 2012
Makamo wa kwanza wa Rais Mhe Hamad akiwa kwenye picha ya pamoja na Naibu Balozi wa Tanzania, Maafisa wa Ubalozi pamoja Baadhi ya Uongozi wa Zawa UK alipokfika kwenye Ukumbi wa London University tarehe 14 Sept 2012
Mheshimiwa Seif S Hamad Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Uengereza Mhe Peter Kallaghe na Mwenyekiti wa Zanzibar Welfare Association UK kwenye Afisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Uengereza leo tarehe 13 Sept 2012
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff akiwa na Mwenyekiti wa ZAWA UK Hassan Mussa Khamis leo tarehe 13 Sept 2012 Kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Uengereza.
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Hamad akiwa na Baadhi ya Viongozi wa Jumuiya ZAWA UK. leo 13 Sept 2012
Ujmbe wa British Tanzania Society wakiwa kwenye picha ya pamoja leo tarehe 13 Sept 2012 na Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Mhe Seif na Balozi wa Tanzania nchini Uengereza Mhe P. Kallaghe
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Seif Shariff akiwa na waziri anaeshughilikia mambo ya Africa nchini uengereza Mhe Simmonds kwenye afisi za Mambo ya Nje [FCO]
Makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Seif Shariff akiwa na mwenyeji wake balozi wa Tanzania nchini Uengereza Mhe Peter Kalaghe pamoja mabalozi wa Uganda na Burundi kwenye afisi za Ubalozi wa Tanzania, Bond Street
MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR KUKUTANA NA WANANCHI WAISHIO UK
Jumuiya ya ZAWAUK kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania UK, Tunapenda kuwaalika watu wote waishio UK kwenye mkutano wa hadhara siku ya Ijumaa tarehe 14 Sept 2012 kunzia saa kumi na mbili Alasiri. Mgeni rasmi kwenye mkutano huo ni Makamo wa Rais wa Zanzibar , Maalim Seif Shariff Hamad.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.