TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,880
4,883
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
SAsa wakemee kitu kilichokuwa kikifanywa na kutungwa Tangu mwaka miaka ya 1400s..

Zanzibar si.ya wakristo tukubali hicho jama..
Sheria hizi zimekuwa zikifanywa kila mwaka hata mwaka jana, Mwaka juzi..
Una Umri gani??
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha

Kwa kweli si poa, yaani wazanzibar wamekuwa na ubaguzi mkubwa namna ile. Wenye dini huko uarabuni wao mbona wana taratibu nzuri tu. Wakristo wa zannzibar ni wa kutetewa kwa gharama zozote
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
Rais Mwinyi wa Zanzibar niliwahi lumuandika humu kuwa ni mdini, ni rais anayesambaza uisilamu badala ya kuongoza wananchi wote. Rais huyu kila mara hujitokeza kwenye mambo ya waisilamu hata kwenye shughuri zinazowahusu viongozi wa dini hiyo! Huyu hafai kuwa rais wa Tanzania, kinachoendelea Zanzibar kimepata baraka zake ndiyo sababu hawezi kukemea.
 
Kuna mambo yanaendelea Zanzibar yanahatarisha usalama wa wakristo waishio Zanzibar. Kitendo cha mtu anayekula hadharani kipindi cha mwez wa Ramadhan kuchapwa fimbo hadharani hii ni kinyume cha utu, imani, na hata haki za binadamu.

Ukimtegemea kwamba Rais atasema neno ujue mtapigwa changa ka macho maana yeye mwenyewe ni mwenzao katika imani hvyo labda inawezekana na yeye anafurahia.

Haiwezekani mambo haya yafanyike na watu wakae kimya.

Nitoe rai kwa viongozi wa mabaraza ya dini ya kikristo kutoka hadharani na kutoa nyaraka zinazokemea jambo hili ili kuwalinda waumini wao waishio Zanzibar. Leo amechapwa mtu fimbo wakiona mko kimya kuna siku atauwawa mtu.

Simameni ongeeni na sisi waumini wenu tuko nyuma yenu katika hili. Upole wetu wenzetu wanautumia kama nafasi ya kunyanyasa na kupotisha agenda zao kuanzia serikalini.

Nawasilisha
zingatia table manners hakuna atakae sumbuka na wewe 🐒

kubugia bugia na kufakamia mavyakula hovyo hovyo hadharani bila bila aibiu wala utaratibu ni mazoea na ni tabia mbaya.
Ni malezi ya hovyo sana 🐒

Pika au nunua Chakula chako kaa ndani kwa utulivu kula maliza, jiunge na wenzako kijiweni kwa stori na porojo, safiii, nani atababaika na wew?

sasa wewe unajua kabisa sis tumefunga, wengine hatujafunga na tuna njaa kweli kweli na mfukoni hatuna jambo lolote, halafu wewe unanua biriani au chips yenye mapochopocho kama yote, halafu unakuja kuungana nasi kijiweni huku ukifakamia hilo pilau......

huo sio ungwana na wala sio ustaarabu.
unatibua saumu za wengine lakini pia unatibua na kuvuruga zaidi njaa wengine kwa tamaa zako. Tutakushughulikia kimoyomoyo wale wenye roho ngumu, lakini wenye roho nyepesi hawatakuacha salama 🐒
 
Kwanini msielezee kwa kina zaidi kuhusu hii sheria yao ya kukamata wanaokula hadharani?
Je ni waislamu pekee kwa kutizama ID zao n.k.
Au ni katazo la kula hadharani kwa watu wote n.k
Adhabu yake ipoje?

Hili jambo msilichochee zaidi.
Mnachofanya ni kama kuonyesha wakristo wanakandamizwa na waislamu hapo Zanzibar, na matokeo yake si mazuri.
 
SAsa wakemee kitu kilichokuwa kikifanywa na kutungwa Tangu mwaka miaka ya 1400s..

Zanzibar si.ya wakristo tukubali hicho jama..
Sheria hizi zimekuwa zikifanywa kila mwaka hata mwaka jana, Mwaka juzi..
Una Umri gani??
Ukristu uliingia Zanzibar rasmi mwaka 1879 ulipokamilika ujenzi wa kanisa la Anglikana, na wakiristu wamekua wakiishi vizuri mpaka miaka hii ya 2000 ambapo tulishuhudia padri akipigwa risasi ndani ya kanisa ambapo tukio hilo lilionekana kuwa la kawaida japo angepigwa risasi shehe dunia nzima ingejua Tanzania ilipo kwenye ramani.
 
zingatia table manners hakuna atakae sumbuka na wewe 🐒

kubugia bugia na kufakamia mavyakula hovyo hovyo hadharani bila bila aibiu wala utaratibu ni mazoea na ni tabia mbaya.
Ni malezi ya hovyo sana 🐒

Pika au nunua Chakula chako kaa ndani kwa utulivu kula maliza, jiunge na wenzako kijiweni kwa stori na porojo, safiii, nani atababaika na wew?

sasa wewe unajua kabisa sis tumefunga, wengine hatujafunga na tuna njaa kweli kweli na mfukoni hatuna jambo lolote, halafu wewe unanua biriani au chips yenye mapochopocho kama yote, halafu unakuja kuungana nasi kijiweni huku ukifakamia hilo pilau......

huo sio ungwana na wala sio ustaarabu.
unatibua saumu za wengine lakini pia unatibua na kuvuruga zaidi njaa wengine kwa tamaa zako. Tutakushughulikia kimoyomoyo wale wenye roho ngumu, lakini wenye roho nyepesi hawatakuacha salama 🐒
Kwa taarifa yako wapo waliokamatwa wakipika chakula mchana! Tetea na hili kwa nguvu zako zote.
 
Back
Top Bottom