Wafanyakazi wa TRA nanyi fungueni maduka Kariakoo mlipe kodi hizi

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Feb 26, 2021
949
2,865
WAFANYAKAZI WA TRA FUNGUENI MADUKA KARIAKOO NANYI MLIPE KODI HIZI

Mimi mfanyabiashara nacomply,ukiniita nakuja,nadaiwa Milioni 100 nimelipa yote bado Milioni 3 mnanifungia mashine,basi fungueni nyinyi maduka mlipe na hizi kodi zote,

1. Kodi ya mzigo unapoingia bandarini.

2. Kodi ya mapato dukani na stoo.

3. Kulipia leseni.

4. Service levy.

5. Kulipia fire extinguishers

6. Kodi ya pango la frame Kariakoo.

7. Kodi ya pango la store.

8. Kibali cha Tbs.

9. Kodi ya parking.

10. Kodi ya majitaka.

11. Mfumuko wa bei,Machinga anauza 10,000 mwenye frame anauza 20,000 kufidia mikodi na tozo.

12. Kodi ya Choo.

13. Kodi ya Ulinzi dukani.

14. Kodi ya Ulinzi store,

15. Faini ya kila jioni ukikamatwa na mzigo toka dukani kurudisha store.

16. Bill ya Umeme.

17. Kulipa Wafanyakazi na wabeba mizigo.

18. Died stock.

19. Kodi ya meza nyumbani,na ada ya watoto.

20. Bima ya Afya.

Ebu Tra nanyi mfungue maduka Kariakoo mlipe hizi kodi zote,hili mjue sisi hela hatuchumi kwenye mti kuwapa ninyi na sijui kama zinafika mahali husika.
 
Cha ajabu T.R.A hawajui junsi biashara zinavyofanywa.

Kuna Jamaa mmoja wa T.R.A alikua anaruka na dem fulani na baadaye akamfungulia duka.

Yule dem alikua akufuata mzigo China na Dubai, mzigo ukiisha dem.anamwambia jamaa, then jamaa anatoa hela ya kwwnda kununulia mzigo mwingine badala ya dem kutumia hela aliyozungusha.

Hali iliendelea hivyo kwa miaka mungi hadi Magufuli alipoingia madarakani. Hapo jamii ndiyo akaanza kuhisi maisha magumu , masela wakamtafutia mganga kwa madai kuna watu wanamuonea wivu.

Mganga akajilia hela zake na Baada ya muda Mganga naye akapata nguvu ya kimaisha sasa hivi ameshamaliza Masters yake Norway na anaishi hukohuko.

Msela wa TRA tunaye hapa bongo na dem yupo anadandiwa na yeye ameshajichokea ila wamesha mwagana na jamaa
 
Japo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
 
WAFANYAKAZI WA TRA FUNGUENI MADUKA KARIAKOO NANYI MLIPE KODI HIZI

Mimi mfanyabiashara nacomply,ukiniita nakuja,nadaiwa Milioni 100 nimelipa yote bado Milioni 3 mnanifungia mashine,basi fungueni nyinyi maduka mlipe na hizi kodi zote,

1.Kodi ya mzigo unapoingia bandarini.

2.Kodi ya mapato dukani na stoo.

3.Kulipia leseni.

4.Service levy.

5.Kulipia fire extinguishers

6.Kodi ya pango la frame Kariakoo.

7.Kodi ya pango la store.

8.Kibali cha Tbs.

9.Kodi ya parking.

10.Kodi ya majitaka.

11.Mfumuko wa bei,Machinga anauza 10,000 mwenye frame anauza 20,000 kufidia mikodi na tozo.

12.Kodi ya Choo.

13.Kodi ya Ulinzi dukani.

14.Kodi ya Ulinzi store,

15.Faini ya kila jioni ukikamatwa na mzigo toka dukani kurudisha store.

16.Bill ya Umeme.

17.Kulipa Wafanyakazi na wabeba mizigo.

18.Died stock.

19.Kodi ya meza nyumbani,na ada ya watoto.

20.Bima ya Afya.

Ebu Tra nanyi mfungue maduka Kariakoo mlipe hizi kodi zote,hili mjue sisi hela hatuchumi kwenye mti kuwapa ninyi na sijui kama zinafika mahali husika.
Wafanyakazi TRA hawajawahi kufanya biashara yoyote, wao wanakula pesa yako by 100%.
Mtaji wao ni kukukadiria kodi kubwa ili muongee wakupunguzie, wakikupunguzia na wao wapate cha juu.
 
Tra anahusikaje na Bima ya afya?
Umeme?
Ulinzi?
Mishahara ya wafanyakazi wako?

Ada za watoto wako??


Hivi vyote ndo visingizio msilipe kodi???


Lipeni Kodi ....
Anamaanisha kuwa utitiri wa kodi umekuwa mkubwa sana, pamoja na kodi zote hizo bado running costs za ofisi zipo pale pale. Mkuu kama umewahi kumiliki walau duka utaelewa wanachoongea.
 
Japo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
Fungua biashara na we utoe risiti halali kila bidhaa unayouza uone kitakachokutokea
 
Tra anahusikaje na Bima ya afya?
Umeme?
Ulinzi?
Mishahara ya wafanyakazi wako?

Ada za watoto wako??


Hivi vyote ndo visingizio msilipe kodi???


Lipeni Kodi ....
Faida ya duka ndio inafanya yote haya!! Sasa wewe unadhani kodi ya 62% faida itatoka wapi?

Ndio maana unakuta bidhaa inauzwa elfu 10 China ikifika bongo inapanda mpaka laki.

Utitiri wa kodi unatuathiri hata sisi walaji
 
WAFANYAKAZI WA TRA FUNGUENI MADUKA KARIAKOO NANYI MLIPE KODI HIZI

Mimi mfanyabiashara nacomply,ukiniita nakuja,nadaiwa Milioni 100 nimelipa yote bado Milioni 3 mnanifungia mashine,basi fungueni nyinyi maduka mlipe na hizi kodi zote,

1.Kodi ya mzigo unapoingia bandarini.

2.Kodi ya mapato dukani na stoo.

3.Kulipia leseni.

4.Service levy.

5.Kulipia fire extinguishers

6.Kodi ya pango la frame Kariakoo.

7.Kodi ya pango la store.

8.Kibali cha Tbs.

9.Kodi ya parking.

10.Kodi ya majitaka.

11.Mfumuko wa bei,Machinga anauza 10,000 mwenye frame anauza 20,000 kufidia mikodi na tozo.

12.Kodi ya Choo.

13.Kodi ya Ulinzi dukani.

14.Kodi ya Ulinzi store,

15.Faini ya kila jioni ukikamatwa na mzigo toka dukani kurudisha store.

16.Bill ya Umeme.

17.Kulipa Wafanyakazi na wabeba mizigo.

18.Died stock.

19.Kodi ya meza nyumbani,na ada ya watoto.

20.Bima ya Afya.

Ebu Tra nanyi mfungue maduka Kariakoo mlipe hizi kodi zote,hili mjue sisi hela hatuchumi kwenye mti kuwapa ninyi na sijui kama zinafika mahali husika.
Kodi ya Bima ya afya ,Ulinzi.....TRA anaingiaje hapa?!!!

Umeamua kuwatupia lawama kwa kila gharama ihusuyo maisha yako ?!!!!
 
Japo wafanyabiashara wanachangamoto nyingi dhidi ya TRA lakini pia wapo wafanyabiashara wengi walaghai. Naona sana kwenye biashara zao hawatoi risiti na hata kama akitoa risiti basi kaiandikia pesa ya chini sana. Hv mtu ananunua mzigo wa milioni anaandikiwa risiti ya laki moja
Mfanyabiashara anaishi kwa maximazition of profit bila ya elimu ya mlipa kodi ikaeleweka. Bila ya utaratibu mzuri wa kodi, kamwe hutoona kodi yake iliyo stahiki.
 
Back
Top Bottom