Wafanyakazi wa tigo matapeli?

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
nilmetapeliwa na kampuni ya simu ya TIGO katika huduma zake. nimejaribu kuingiza pesa ktk line ya Tigo iliosajiliwa ili kupata huduma ya LIGHT DAY INTERNER kupitia MODEM ya TIGO. nimeingiza Pesa ili kupata hudumua ya s 3000 kwa kutumia 0654663725. wameniambia nimejiunga na kifurushi cha internet wamezila pesa zangu huduma hawataki kunipa eti wanananipa msg ya siwezi kukunnect . Baya zaidi nilipoitia hiyo line ktk simu na kunza kuwapigia kwa 0713800800 hawapokei lkn juu ya kutokupokea lkn wanazidi kuzikata pesa zangu. nimepiga zaidi ya dakika 30 lkn sipati huduma na pesa wanakula.
Nipo mbali na OFISI za TIGO. lkn sipati mawasiliano yao huku wakiendelea kula pesa. malalamikio kama haya yameenea sana kwa huduma hii.
 
nilmetapeliwa na kampuni ya simu ya TIGO katika huduma zake. nimejaribu kuingiza pesa ktk line ya Tigo iliosajiliwa ili kupata huduma ya LIGHT DAY INTERNER kupitia MODEM ya TIGO. nimeingiza Pesa ili kupata hudumua ya s 3000 kwa kutumia 0654663725. wameniambia nimejiunga na kifurushi cha internet wamezila pesa zangu huduma hawataki kunipa eti wanananipa msg ya siwezi kukunnect . Baya zaidi nilipoitia hiyo line ktk simu na kunza kuwapigia kwa 0713800800 hawapokei lkn juu ya kutokupokea lkn wanazidi kuzikata pesa zangu. nimepiga zaidi ya dakika 30 lkn sipati huduma na pesa wanakula.
Nipo mbali na OFISI za TIGO. lkn sipati mawasiliano yao huku wakiendelea kula pesa. malalamikio kama haya yameenea sana kwa huduma hii.


Inaonesha una malalamiko ambayo ni dhahiri, kwa hiyo, nakushauri ufuate mwongozo huu:

http://tcra.go.tz/customer/complaints/Mwongozo_wa_mamalamiko.pdf

Iwapo mwongozo huo hautatosha, fuata mwongozo huu:

http://tcra.go.tz/images/mwongozo.jpg

Pia unaweza kujaza fomu hii:

http://tcra.go.tz/customer/complaints/fomu_ya_Malalamiko.pdf


Ambayo pia unaweza kuijaza online:

TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority


Vinginevyo, unaweza kuwasiliana na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (Tanzania Communications Regulatory Authority - TCRA) kupitia anuani zao ambazo utazipata kwenye tovuti ya TCRA|Tanzania Communications Regulatory Authority

Kila la heri.

./Mwana wa Haki
 
nilmetapeliwa na kampuni ya simu ya TIGO katika huduma zake. nimejaribu kuingiza pesa ktk line ya Tigo iliosajiliwa ili kupata huduma ya LIGHT DAY INTERNER kupitia MODEM ya TIGO. nimeingiza Pesa ili kupata hudumua ya s 3000 kwa kutumia 0654663725. wameniambia nimejiunga na kifurushi cha internet wamezila pesa zangu huduma hawataki kunipa eti wanananipa msg ya siwezi kukunnect . Baya zaidi nilipoitia hiyo line ktk simu na kunza kuwapigia kwa 0713800800 hawapokei lkn juu ya kutokupokea lkn wanazidi kuzikata pesa zangu. nimepiga zaidi ya dakika 30 lkn sipati huduma na pesa wanakula.
Nipo mbali na OFISI za TIGO. lkn sipati mawasiliano yao huku wakiendelea kula pesa. malalamikio kama haya yameenea sana kwa huduma hii.
Na mimi ilinitokea sina hamu nayo dah nilijiunga nikapata msg kuwa nimeunganishwa so nikawa natumia kwa kujidai baadae ilikata nakajiuliza kulikoni nikatazama balance ya pesa zangu nikakuta ni zero kudadeki nikaona nishaibiwa pesa zangu nyingi mbavu PU zao tigi majizi yasiyosameheka
 
Sina hamu nao mimi, nilijiunga huduma ya hellotunes..nyimbo ya JLo...wiki ya 2 inaisha wananikata sh 300 kila nikiweka salio, cha ajabu nilivyojitoa nikaletewa msg kwamba sijajiunga na hiyo huduma na siwezi kuwa unsubscribe...dah nikaingia hewani, hela wanakata na simu hawapokei CCare,so nihama mtandao kesho
 
Nitawezaje Kuwashtaki wanilipe fidia ya shilling 1 kama Manji Au Fidia ya Billion 2 hii tabia ishakuwa common
wanasikia raha au kuna watu wana hack server yao? tusijekuwa tunawaonea bure
 
Mi mwenyewe nina mpango wa kuhama tgo na sasa mi na mpenzi wangu tupo hatua za mwisho kwajili ya kujisajili airtel ama zantel.

Mi nipo Dodoma,nilipowasili kutoka Dar wakanitumia msg kua,uwapo mkoa huu pata mara 2 ya salio unaloweka,naweka sipati!

Huduma nyingine ni kuongea bure baada ya dakika 3 saa 5 usiku had saa 1 asubuhi bure,lakini ni uongo mtupu.

Kuhusu makato mengine ya kawaida nayo hayana ukweli,Tgo wezi haoooooooooooooooooooo,haoooo.
 
Tigo ni wez sana siku hizi na pia ndo mtandao unaotoza gharama kubwa za upigaj sim kuliko mitandao mingine yote. Nilihama rasmi last wiki. Bora huku voda kuliko tigo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom