Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,414
Wakuu,
Naona Tigo aipo hewani simu inaniandikia emergency na jirani zangu vivyo hivyo kuna tatizo GANI ninatumia huduma ya simu bank kwenye line ya tigo, Tigo pesa ninamzigo wa kueleweka.
Wasije kuwa ma hacker wanafanya yao, msaada please watu wengi hawapatikani hewani nikitumia mtandao mbadala kuwacheki.
Naona Tigo aipo hewani simu inaniandikia emergency na jirani zangu vivyo hivyo kuna tatizo GANI ninatumia huduma ya simu bank kwenye line ya tigo, Tigo pesa ninamzigo wa kueleweka.
Wasije kuwa ma hacker wanafanya yao, msaada please watu wengi hawapatikani hewani nikitumia mtandao mbadala kuwacheki.