Mkuu hawa wameachishwa kazi bila kulupwa stahic zao,na walioenda mahakamani huu ni mwaka wa tatu hakuna kinachoendeleaHAO NAO WAOGA KILA SIKU MARA WAGOME MARA WALALE NJE YA STUDIO
CHAKUCHANGAZA KESHO YAKE WANARUDI TENA KAZINI, SI WAENDE MAHAKAMANI??