Kweli walipiga dili hii awamu watahenya, hawana pa kutokea.
waende CMA sasaAmbacho amjui ni kwamba hawa walisimamishwa kazi tangu mwezi wa tatu wakaambiwa watapewa stahiki zao zote ndio mpaka leo wanazingushwa,wakandana kama hivi jamaa anawapoza kwa lakimoja moja anawambia baad wiki moja wanalipwa anakaidi makubaliano .